HAPANA JAMANI, HII BEI YA KOROSHO YA MIAKA HII MIWILI ILIYOPITA IKAFIKA MPAKA ELFU 4, HAIKUWA BEI HALISI YA KOROSHO ILIKUWA NI KWASABABU YA UHITAJI HUKO DUNIANI. SASA SOKO LA KOROSHO DUNIANI LIMESHUKA KWA 50% MNATEGEMEA WANUNUZI BADO WANUNUE KWA BEI ILE ILE? NA TUKUMBUKE BEI YA SERIKALI NI 1550...
Mimi ni mkazi wa mbezi ya kimara, natumia sana usafiri wa mwendokasi, baada ya laumu ninayoendelea kuisikia kuhusu idadi ya watu na vitu katika kivuko cha Mv Nyerere nikakumbuka jinsi ambavyo tunajaaga kwenye mabasi ya mwendokasi. Tunaomba mamlaka husika ziliangalie hili maana isije kuja tokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.