Recent content by Bwana Bure

  1. Bwana Bure

    Ushauri: Mahari ifutwe?

    Umechanganya mafaili mkuu
  2. Bwana Bure

    Ushauri: Mahari ifutwe?

    Hawa wanaishi pamoja km mke na mume Waliishia kuchumbiana tu na kuanza kuishi Pamoja Ila hawajaoana sababu ya Mahari mkuu
  3. Bwana Bure

    Ushauri: Mahari ifutwe?

    Daah hiili suala linahuzunisha sana kuna Jamaa Jana alikua anasimulia ameshindwa kuoa sababu ya Mahari yaani unaambiwa ukweni walimwambia alipe Million 2 na Laki 5, shughuli anazofanya na malipo ya mahari haviendani kabisa hivyo amebaki kuishi uchumba sugu huu mwaka wa 10 bado hajaoa mke...
  4. Bwana Bure

    Sababu zinazofanya uwe mwepesi kurogeka

    Umeoa wake wanne kisha unajipigia ovyo ovyo huku na huko unakua umejiroga au umerogwa?
  5. Bwana Bure

    Sababu zinazofanya uwe mwepesi kurogeka

    Upo wewe hawajakuweka kwenye 18 zao tu wakakupigia show ndio maana hujui, sio mazingaraombwe ila uchawi upo hata vitabu vitakatifu vinataja uwepo huo Soma biblia kuna Jamaa aliepandwa na mapepo alikutana na Yesu akamuuliza unaitwa nani? Akajibu 'Jeshiiiiii' maana yake 'tupo wengi'
  6. Bwana Bure

    Arusha: Afisa Mtendaji ahukumiwa miaka 20 jela kwa ufujaji wa fedha

    Alibet game ya Man U vs Liverpool akaipa Liverpool au?
  7. Bwana Bure

    Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

    Miaka 25 sio suala dogo hivi unamaanisha au una assume tu?
  8. Bwana Bure

    Ngumu kukubali ila ni ukweli

    Bado nipo gizani
  9. Bwana Bure

    Ukweli usiosemwa

    Wee jombaaa mbona Dingirai umemuweka kwa fyede hapo Arif? Kuna Baba wanajua kupambania watoto wao Mpaka tone lao la mwisho la jasho na damu Mpaka pumzi yao ya mwisho 'Baba' anapambana kwa ajili ya mtoto wake Usimsahau 'Baba' aise muongezee hapo Yesu mwenyewe alisema 'Mikononi mwako Baba...
  10. Bwana Bure

    Binadamu wenye uthubutu duniani

    Picha basi tuwaone hao akina Amrish Puri
Back
Top Bottom