Recent content by BvbSlash

  1. BvbSlash

    Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

    Akina dada wanajua vitu vingi vizuri
  2. BvbSlash

    Sane atemwa timu ya taifa kutokana na kutokufiti kwenye mfumo

    Euro 2016? Bellarabi, Gotze, schullre, mbona nao walikuwepo. Sane alicheza mechi ngapi kwenye hiyo euro? Na kama unakumbuka vzri kwenye hiyo euro low alishawahi kumzungumzia kwamba sane hajitumi na ni mvivu wanapokua mazoezini. Kwenye confederation cup mwaka jana, sane alijitoa kwenye...
  3. BvbSlash

    Sane atemwa timu ya taifa kutokana na kutokufiti kwenye mfumo

    Mkuu sane katika mechi 12 za timu ya taifa alizocheza hajafunga goli hata moja na ka assist moja tu, watu wanapiga kelele lakini hawajamuona sane akiwa na timu ya taifa, sio sane huyo wa man city, sijawahi muona sane akicheza vzr akiwa na NT. Mbali na hilo saizi sane anacheza akitokea kushoto...
  4. BvbSlash

    Football made in Germany (Bundesliga) special thread

    Joachim Löw announced his 23-man World Cup squad
  5. BvbSlash

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Bild wapo so reliable kwa habari za bayern,
  6. BvbSlash

    Tukubaliane kimsingi ulaya Mpira upo BundesLiga na Serie A

    Bundesliga >laliga>serie A>epl Zaidi ya pesa na matangazo epl hakuna kitu. Bundesliga inaongoza kuwa na mpira mzuri wenye kasi na kuvutia, atmosphere ya uwanjani inavutia kuliko ligi ytte duniani.
  7. BvbSlash

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Poa mkuu
  8. BvbSlash

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ujerumani kuna kitu kinaitwa 50+1 ownership rule, ambapo mashabiki wanakua na nguvu zaidi kuhusu timu kuliko commercial investors, Walichokifanya Redbulls kwenye timu ya Leipzig ni kubadilisha majority share holders na kwamba mashabiki wao ndio wenye timu then Redbulls ni second owner (kwa...
  9. BvbSlash

    DSTV wameingia mtaani, Startimes na wengine jiandaeni kisaikolojia

    SS7 saizi kuna mechi ndio inaanza bayern vs Paderborn
  10. BvbSlash

    Who is your best football commentator?

    Kwa upande wa bundesliga ni Phil Bonney na Alan Fountain ni bonge la commentators kwa upande wa EPL ni peter, Jim Beglin na John Champion
  11. BvbSlash

    Liverpool FC yainyuka Manchester City 4-3 na kuvunja mwiko

    swafi sana liverpool#YNWA
  12. BvbSlash

    Mashabiki wa soka wa Nchi gani wanaongoza kwa utukutu?

    Kuna mapusha wa chile wale jamaa ni wakorofi sana ukiwaanza, bahati mbaya urusi hatutakua nao
  13. BvbSlash

    Club za mpira wa miguu duniani zinazoongozwa kwa mfumo wa hisa ni hizi

    Ujerumani kuna sheria inaitwa 50+1 rule, ambapo asilimia 50 ya hisa inatakiwa kumilikiwa na wanachama wale ambao ni season ticket holder, hii ndio inafanya wanachama ama mashabiki kuwa na nguvu sana kwenye club za ujerumani tofauti na ligi zingine
  14. BvbSlash

    Ujerumani atatwaa Ubingwa wa Kombe la Dunia 2018

    Hakuna timu ya kuizuia ujerumani mkuu, tatizo la ujerumani kwenye hizi WCQ lilikua ni striker lakini saizi kuna damu changa zinakuja kwa kasi sana, hadi kufika mwakani watakua wamesha zoea mikiki mikiki, upande wa golikipa, beki na mido hakuna shida yyte.
Back
Top Bottom