Recent content by buzbud

  1. B

    Ajali ya basi la PACL Dar - Dodoma

    Yap hiyo ajali kweli imetokea source ni abiria aliyekuwa anasafiri leo na kimbinyiko ya saa tano inayotoka dsm kwenda dodoma wameishuhudia hiyo ajali na pia wameweza kuondoka na majeruhi pamoja na abiria wengine kuelekea dodoma...idadi ya watu waliopoteza maisha sifahamu ila ajali ni ya uso kwa...
  2. B

    Albert Msando atoa maoni juu ya majibu ya miss Tanzania na Lundenga

    Yani kweli serikali yetu imelala, mtu anasadikika kufoji umri wake kwenye nakala mbalimbali...leseni,passport,na cheti cha kuzaliwa lakini vyombo husika vimekaa kimya tuu kama vile hawafahamu kugushi ni kosa la jinai...mm kwa upuuzi huu nabadili uraia wangu maana huu upuuzi hauvumiliki wala...
  3. B

    Wanyonge tuunganishe nguvu kumuokoa Diamond

    Kazi nzur Diamond umeifanya tz na bongo fleva kufahamika kimataifa kwa sababu miaka mitatu au minne iliyopita tz tulikuwa tunakimbizwa na jirani zetu Kenya na Uganda kupitia video lakini uthubutu wako umeifanya tz kuwaacha mbali sana hao jamaa vile vile umeamsha hali hata kwa video producers...
  4. B

    Manji amuokoa Komba, anunua shule zake

    Yap that true tena usiombee akufunge coz Wenyewe wanaozijua sheria wanakwambia at the end of the day bill of cost zinaitwa nazani kama sijakosea unapaswa kuzilipa zote....so nia au kusudio la kukufunga ni kukutikisa hata kama unakahela kako ka ngama au kuna ndugu na jamaa wapo wenye uwezo...
  5. B

    Manji amuokoa Komba, anunua shule zake

    Mkuu inaonyesha hata ww sio mdau wa sheria au km ni mdau basi mzembe coz umeshindwa kufahamu kuwa kesi ya madai inamfunga mtu...NOTE. Kesi ya madai mdaiwa anafungwa na mdai anatakiwa kumlipia mdaiwa gharama za matumizi pindi atakapokua jela...
  6. B

    Faida 5 za mke wako kutembea nje ya ndoa

    1. Atakuletea staili mpya. 2. Mapenzi yataongezeka ili kukuzuga. 3. Gharama za matumizi kama saluni, mitoko na vocha hupungua 4. mkeo hatakuwa na stress Wala hatakupa stress 5. Hatakusumbua kwa hawara zako Wala kukuuliza maswali unapochelewa. Muache mkeo awe na Mpenzi wa...
  7. B

    Hivi siku hizi mbona hatuokoti hela kama zamani?

    Utaokota vp hela wakati kuna watu wamebobea kuokota makopo mda wote we hiyo hela utaiokotea wapi...
  8. B

    Hii Mikoa Nani Kailoga?

    Katavi No 1...
  9. B

    Lips kuungua msaada please

    So kuungua kwa lips ni among of HIV/AIDS symptoms?
  10. B

    Kama kuna mtu anayeishi Mpanda

    Tupo mkuu
  11. B

    Lips kuungua msaada please

    R Situmii pombe kali
  12. B

    Lips kuungua msaada please

    Hyo picha ya jamaa no 6 ndio sawa kabisa na tatizo langu...ngoja nifanye utaratibu wa hiyo aloevera lipbam...
  13. B

    Lips kuungua msaada please

    Ugonjwa gani mkuu huu
  14. B

    Lips kuungua msaada please

    Wadau za asubuhi, mimi kuna katatizo kadogo kwenye lips zangu kwa kweli kananikera, ni mda sasa hizi lips zangu upande wa chini ya mdomo zimekua zimeungua Yani kama nakunywa pombe kali sasa sijui nawezaje tatua tatizo hili...
  15. B

    Nataka Toyota ist nina m4

    Thts true...
Back
Top Bottom