Kuna mwanariadha mwingine yeyote Tanzania unaweza kumlinganisha na yeye? If your answer is NO basi Filbert Bayi is GOAT wa riadha Tanzania, lakini kama yupo mtaje.
Mwalimu Nyerere ameandika vitabu vingi sana ni kipi alichotamka maneno hayo? Kama umesikiliza speech yake huko You Tube unataka kusema kuwa kuna speech moja tu ya Nyerere huko? Wewe ndiye unapuyanga na kuandika ujinga tu.
Ungetulia na kueleza kumetokea nini na sidhani kama watumishi wa umma wana mamlaka hayo na sijui kwenye ngazi ipi? Fafanua ulichoandika ili watu wachangie mada kwa ufasaha.
Mama hawezi kuwapa watoto sumu kama mna mahusiano mazuri!! Afanye hivyo ili iweje? Halafu kwani hao watoto hawaoni mambo yalivyo humo ndani? Hata kama bado ni wadogo but with time wataelewa. Mimi siamini huu msemo eti watoto wanapewa sumu na Mama eti wachukie baba zao; why? Kuna mambo mnafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.