Recent content by Buyuni Kwetu

  1. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    Sijawahi kumfuatilia huyo Mwamposa hata sura yake siifahamu. Lakini kutokana na comments kwenye huu uzi inaonekana wanaokwenda kwa Mwamposa ni wanawake. Je, ina maana hakuna wanaume wanaokwenda huko kwa Mwamposa?
  2. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Waeleweshe hawa wanaume wanaokaa kusakama wanawake kuhusu ndoa. Sijui kwanza nani aliwaambia kuwa bila ndoa mwanamke hawezi kuishi. Sasa mtu hujapata mwanaume anayetaka kukuoa unataka ufanyeje?
  3. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Hivi, kwani kuolewa ni lazima? Kwani mwanamke hawezi kuishi kwa amani na furaha bila kuolewa?
  4. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Anatakiwa aende shule akiwaza kuwa mtu mwenye profession fulani ili aweze kujitegemea.
  5. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Samaki wasio na mapezi na magamba hawaruhusiwi kuliwa

    Mbona sisi wanyalu majani ya bangi ni mboga? Tena tunaunga na mbegu za maboga. Ni tamu balaa!!!
  6. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Ushauri Kwa timu yangu Yanga baada ya kipigo kutoka Dodoma Jiji

    Mwamnyeto kakera sana leo.
  7. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania PICHA: Tutajenga ofisi ya mkuu wa mkoa kwa Tsh bilioni 10

    Wapi hii?
  8. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mwanaume na unajipikilisha, juwa bado hujakua

    Na chumvi kiasi
  9. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Lindi maisha gharama sana

    Huujui Mkoa wa Lindi wewe.
  10. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Natamani sana hawa guest wote 43k wangekuwa registered members hapa JF

    Hii siyo kweli mbona mimi niko TZ na ninaingia JF bila kutumia VPN?
  11. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Polisi wadai eti Rehema ndo alimuua Athumani Nyanza wa Ilala

    Kwa hapo umekurupuka MWANANGU!!! Mimi siyo Kijana. Nimem-quote Detective J kwa alichosema kuhusu wenzetu wanavyofanya investigations. Mimi nikajiuliza kama na wa kwetu huku kama huwa wanafanya kama wenzetu. Sasa hapo kosa langu liko wapi? Comment yangu ni ya general. It has nothing to do with...
  12. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Polisi wadai eti Rehema ndo alimuua Athumani Nyanza wa Ilala

    Haya maelezo nimeandika kwa ujumla kuhusu Investigations wanazofanya Police wa wenzetu Ulaya na Marekani. It has nothing to do with the Documentary you are talking about.
Back
Top Bottom