Sijawahi kumfuatilia huyo Mwamposa hata sura yake siifahamu. Lakini kutokana na comments kwenye huu uzi inaonekana wanaokwenda kwa Mwamposa ni wanawake. Je, ina maana hakuna wanaume wanaokwenda huko kwa Mwamposa?
Waeleweshe hawa wanaume wanaokaa kusakama wanawake kuhusu ndoa. Sijui kwanza nani aliwaambia kuwa bila ndoa mwanamke hawezi kuishi.
Sasa mtu hujapata mwanaume anayetaka kukuoa unataka ufanyeje?
Kwa hapo umekurupuka MWANANGU!!! Mimi siyo Kijana. Nimem-quote Detective J kwa alichosema kuhusu wenzetu wanavyofanya investigations. Mimi nikajiuliza kama na wa kwetu huku kama huwa wanafanya kama wenzetu. Sasa hapo kosa langu liko wapi? Comment yangu ni ya general. It has nothing to do with...
Haya maelezo nimeandika kwa ujumla kuhusu Investigations wanazofanya Police wa wenzetu Ulaya na Marekani. It has nothing to do with the Documentary you are talking about.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.