Recent content by Buyuni Kwetu

  1. Buyuni Kwetu

    20 Greatest Tanzanians Of All Time

    Kuna mwanariadha mwingine yeyote Tanzania unaweza kumlinganisha na yeye? If your answer is NO basi Filbert Bayi is GOAT wa riadha Tanzania, lakini kama yupo mtaje.
  2. Buyuni Kwetu

    20 Greatest Tanzanians Of All Time

    What about Filbert Bayi?
  3. Buyuni Kwetu

    Kwa Yanga hii Simba tunakula 5 tena, mechi nitaisikilizia redioni

    Karibuni sana tarehe 20 April 2024
  4. Buyuni Kwetu

    Kwa hiki kilichotokea; Watumishi wa umma bora wafe tu

    Mwalimu Nyerere ameandika vitabu vingi sana ni kipi alichotamka maneno hayo? Kama umesikiliza speech yake huko You Tube unataka kusema kuwa kuna speech moja tu ya Nyerere huko? Wewe ndiye unapuyanga na kuandika ujinga tu.
  5. Buyuni Kwetu

    Kwa hiki kilichotokea; Watumishi wa umma bora wafe tu

    Ungetulia na kueleza kumetokea nini na sidhani kama watumishi wa umma wana mamlaka hayo na sijui kwenye ngazi ipi? Fafanua ulichoandika ili watu wachangie mada kwa ufasaha.
  6. Buyuni Kwetu

    Wanaume ni bidhaa adimu, wanaume wapo wanawake ndiyo hakuna

    Mpuuzi tu. Kwanza mwanamke kubandika kope ni utaahira.
  7. Buyuni Kwetu

    Tumetoka kusali jumuiya kwa Baba ambae ni Mkatoliki na Mama ni msabato. Kiukweli kipengele cha kuangalia dini kwenye mahusiano ni cha muhimu sana

    Nakubaliana na wewe. Mimi ni Mkatoliki na niliolewa na Msabato. Tuliishi 25 years mpaka Mungu alipomchukua.
  8. Buyuni Kwetu

    Wanaume hatufaidi ndoa, tunatumika tu kama tingatinga

    Mama hawezi kuwapa watoto sumu kama mna mahusiano mazuri!! Afanye hivyo ili iweje? Halafu kwani hao watoto hawaoni mambo yalivyo humo ndani? Hata kama bado ni wadogo but with time wataelewa. Mimi siamini huu msemo eti watoto wanapewa sumu na Mama eti wachukie baba zao; why? Kuna mambo mnafanya...
  9. Buyuni Kwetu

    Wanaume hatufaidi ndoa, tunatumika tu kama tingatinga

    Umemaliza kila kitu!!!!! Hii thread ilitakiwa iishie hapa!!! Ujengewe mnara kwa kweli!!!!
  10. Buyuni Kwetu

    Wanaume hatufaidi ndoa, tunatumika tu kama tingatinga

    Kwa nini usiwe lovely kwa familia yako na mke wako wakati ukiwa kijana unasubiri mpaka uzeeke ndiyo uwe lovely?
Back
Top Bottom