Recent content by Buyuni Kwetu

  1. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Jinsia Tofauti

    Ukisoma post yangu kwa KUTULIA utaelewa hoja yangu.
  2. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Jinsia Tofauti

    Amesema kipindi yuko Form VI!!! Hajataja ni mwaka gani alikuwa hiyo Form VI!!! Sasa hivi wanaweza kuwa tayari na mahusiano na watu wengine au hata wameoa na kuolewa. How comes unataka uwaunganishe tena leo 2026?
  3. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Jinsia Tofauti

    Siyo lazima
  4. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Jinsia Tofauti

    Kwa nini mlale kitanda kimoja?
  5. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Urafiki wa Jinsia Tofauti

    Upo sana
  6. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Imebidi nicheke tu!!!!😁😁😁😁 Anyway, ni kwa nini wanaume mnataka kumuelewa mwanamke?!!!
  7. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Tena ana kichwa kitupu hasa!!!!
  8. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Kama umeoa au haujaoa take this

    Kwani Gen Z wameshaanza kuoa?
  9. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Chakula gani ambacho hukipendi..! au unakipenda lakini kinakudhuru kiafya..?

    Sipendi makande na magimbi. Havinidhuru bali sivipendi tu
  10. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Mwanamke unapotaka kuolewa huwa unajuliza unaenda na nini? Yaani unamwongezea nini huyo mwanaume ambacho ni spesho?

    Basi kama hakina thamani na mnaona wivu mwanamke akiolewa then muoane wenyewe wanaume kwa wanaume!!!
  11. Buyuni Kwetu

    JamiiForums Tanzania Madogo wa Kiume, Acheni Tabia ya Kuja Inbox Kuomba Hela

    Nilikuwa najiuliza how comes mtu anaomba pesa kwa mtu asiyemfahamu? Au wanafanya random sampling? Sasa nimeelewa!!!!
Back
Top Bottom