Mwanangu ana miaka mitano na miez miwili anajua kusoma tena hata maneno yanayopita kwenye tv chini anasoma vizuri tu na hesabu za saizi yake anajua vizuri tu lakini wamekataa kuingia darasa la kwanza mwakani eti umri mdogo
Hakuna lolote hapa,miaka mitano sio mingi mtakuja humu humu kumuuliza alichokifanya,lakini hili litakuwa fundisho na limeshakuwa fundisho kwa wapiga kura kukurupuka na kufanya maamuzi bila kuwaza mbele kutatokea nini,hii ni sawa tungemrudisha Mujuni Joseph Kataraia tungetegemea jipya gani katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.