Hizi damu za kuchinjana zina laana mbaya sana maana huwa zinamlilia Mungu toka ardhini,believers wake up for prayers,this contrary spirit ig gaining speed!
God shall see us through Gloriously,wao wanataja pesa na nchi za kukimbilia sisi tunalitaja jina la Bwana,mkono wa Mungu haukimbiwi maana uko mahali pote,wasidhani watasalimika kwa kutoroka nchi,wana wa Gadhafi walikimbia nchi lakini walikamatwa.Kwa kumtegemea Mungu wetu mwaminifu tutashinda
Angalia usijaribiwe ndugu,hatupigani vita vya damu na nyama,pigana vita vya kiroho,utaona matokeo hadharani,Mungu wetu hasaidiwa wala hatetewi na mwanadamu,hupigana mwenyewe na kisasi ni juu yake na sio juu yetu
Ninaamini 100% sio wewe unaezungumza haya! hakuna tija yoyote kuwagusa watumishi wa Mungu,bali ni kutafuta laana tu! hata jina unalotumia latosha kukukumbusha kuwa you are driving along the wrong road.
Du inaonekana una hasira nao vibaya mpaka imepekelekea kujiunga na JF faster,ndo kamtindo kao hako,waulize makarani wa sensa watakupa experience zaidi!
kama kukusanya data tu ni photocopy, vip uhalisia wa taarifa zake? kama nchi something is very wrong somewhere,kwa stail hii,hikuwako haja ya kufanya sensa,wangesubiri wajipange vizuri,zoezi la once in ten years linafanyika kihuni!
So sad!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.