Recent content by Buyagakibunje

  1. B

    Orodha ya walimu wa Sayansi waliochaguliwa awamu ya pili 2017

    Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  2. B

    Kupotelewa kwa vyeti

    Naomba msaada wa kisheria, kama mtu amepotewa na cheti au kuungua na moto anaweza kukipata tena NECTA??
  3. B

    Pole sana Mhe. Rais, hii ni wiki ngumu kwako

    Kngne kuusu madaktari kwenda kenya wakati madaktar wa kenya hawawatak watz
  4. B

    Msimsumbue Makonda kuhusu vyeti au tuhuma zozote, mwenye mashaka atoe vithibitisho

    Ummmhyyy.... Bas ata wafanyakazi hewa warudishwe ata wao walifanya kazi kwa weledi mkubwa. Sheria ni msumeno kama kafoji kweli sheria zipo wazi tu. Usikubali kutumwa tena
  5. B

    Tujuzane faida za kwenda JKT kwa mujibu wa sheria zitasaidia kwa kijana wangu?

    Kwa kweli inabidi asome guiding book kwa kuwa mm nna kamda kidogo nishahitimu. Mm nlitumia ya 2013 cha saiv sjakisoma vzur kuhusu cutoff point.
  6. B

    Msaada kuhusu Selection za NACTE

    Ph E kis D eng D math E Bio C Che C civ e his e geo e
  7. B

    Tujuzane faida za kwenda JKT kwa mujibu wa sheria zitasaidia kwa kijana wangu?

    Inategemea na level ya vyuo mfano kaamua kusoma certificate, diploma au degree kwani vyote ana sifa vilevile na course asomayo mfano elimu, afya nk Hivyo, ili apate kujua vyuo vya serikali na binafsi angalia guiding book ya vyuo kupitia nacte na tcu
  8. B

    Tujuzane faida za kwenda JKT kwa mujibu wa sheria zitasaidia kwa kijana wangu?

    M namshauri aangalie namna hata kujitolea ili apate mshiko wa kumwezesha kwenda chuo mwaka kesho. Na inabidi ajitaidi kuomba vyuo vya serikali vyenye gharama nafuu. Jkt anaweza kwenda kutimiza azma ya serikali japo si lazma kwani sasa angekuwa chuoni
  9. B

    Msaada kuhusu Selection za NACTE

    Samahani wadau nimeapply nursing, kwenye profile yangu inasema napaswa nisubiri next selection... coming soon. Wakati huohuo nacte imetangaza kufunga rasimi udahili. Msaada jamani nifanyeje
Back
Top Bottom