Pole kwa changamoto ulizopitia, ila umesema ww ni mwalimu kwann pia usingeambatanisha qualification za masomi gan ambayo umesomea
Pia Mungu akutangulie katika hitaji lako mpendwa.
Mkuu, unafahamu vp kuhusu ugonjwa wa migomba ambao umeingia sasa iv, pia na hiyo migomba ambayo unayo haijaadhiliwa? Na kma bado ni resistance
Sent from my SM-G920V using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.