buvaquine
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 364
- 171
Mkuu, unafahamu vp kuhusu ugonjwa wa migomba ambao umeingia sasa iv, pia na hiyo migomba ambayo unayo haijaadhiliwa? Na kma bado ni resistanceNichek Pm mkuu,offer ya mche wa red indian ipo.Kama uko Moro nakuletea mpaka mlangoni
Sent from my SM-G920V using JamiiForums mobile app