Kwann mnamshtumu sna dr wkt tulio nje ya cdm tunaona ufisadi na uozo mwingi unaofanywa na baadhi ya viongozi wake ? Mbaya zaidi yale yote wanayoyapigia kelele kwa chama cha ccm wao kwa mlango wa nyuma na kuwahadaa walala hoi wa nchi hii wanayafanya hayohayo ! Mm kamwe cwezi kuwasupport cdm kwvle...
Tatizo kubwa ni kwmb misukule ya cdm inakoleza chumvi sana kuliko hali halisi, aibu waliyoipata cdm huko kgm ni kubwa sna, wametumia mabilioni ya pesa walizohongwa na watakaokuja kuwauzia nchi lkn haijasaidia sana, dhambi walizofanya zitawatafuna mpaka mwisho wa dahali ! Halafu misukule yao...
Chadema ni mabingwa wa kuzusha uongo, mara kibao wamezusha uongo ambao badae ulikuja kudhihirika kwmb c kweli, mnapenda kuropoka bila utafiti wa kina halafu mnadai hamtokubari kuibiwa kura eti damu itamwagika. mimi nitafurahi sana damu ikamwagika kwa kuchochewa na misukule ya cdm kwani nina hamu...
Ina madini muhimu sna yanayotafutwa kwa udi na uvumba nchini ujerumani. Kuna kibabu kule lushoto anayo RUPIA lkn tatizo anahitaji kiac kdg amkabidhi mtu wake aje nae mjini kuiuza. kama una soko zuri wasiliana nami, ebutati@gmail.com
Acheni kumsakama ridh1 km vile hastahili kuwekeza au kufanya biashara au jambo lolote la kimaendeleo.Km mna ushahidi wa ufisadi au ubadhirifu wowote alioufanya semeni lkn wote hapa ni wivu tu ndo unawasumbua, ridh1 ni mtu safi na hana kashfa yoyote ya ubadhirifu au ufisadi wowote wa mali ya...
Kwani ni kitu gani kipya ambacho kimefanyika kwny majimbo yanayoongozwa na cdm kwa muda mrefu?? Me nilifikiri majimbo ya cdm yatakuwa na maendeleo makubwa kuzidi yale ya ccm na pia hata ahadi zao wkt wa kampeni zingetimizwa km walivoahidi tofauti na ccm lkn mmmmh... Ni yaleyale tu hakuna...
Hueleweki kwa ulichokiandika, lkn kdg nilichokipata nakushauri utembee kwa nchi nyingine za kiafrika. Dar ni km engine ya kiuchumi kwa tz ni km ilivo kwa nairobi au kampala au kigali,miji yote hyo haiwezi kuwa sawa na sehemu zingine za mikoani. Hata cdm wakishika madaraka kwa miaka 50 ijayo...
Siku matazamio yenu kwa cdm yatakapokuwa tofauti cjui mtaimba wimbo gani hicho chama. Me nachojua ktk siasa ni maslahi tu km alivowahi kusema aliekuwa pm wa UK Margareth Thatcher,kwmb ktk siasa hakuna rafiki bali ni maslahi tu ya hao viongozi na kundi lao la wachache wanaonuniwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.