Recent content by Busypastor

  1. Busypastor

    Kinachomsumbua Lowassa ni hiki

    Ndg MTK nakuunga mkono 80%. A man has to decide what to do at a what time and for what purpose and all these for his own good! Sio kiherehere mmoja tu kwenye JF kutaka kumwamria mtu kama EL chakufanya bila hata aibu! Shame kwa mleta mada!
  2. Busypastor

    Yaliyojiri Bunge la bajeti Leo Mei 19, 2015, Rais Philipe Nyusi Kuhutubia

    Wadau, Hakuna jambo lilionikera Leo kama kukosekana kwa sauti wakati Rais wa Musumbiji akuhutubia Taifa kupita Bunge letu! Hii ni aibu kwa Taifa kubwa kama Tz!
  3. Busypastor

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Watu wengi huku kwetu Geita wanahamia Tigo Sijui huko kwingine. Mfano unajiunga kifurushi cha dakika 100 harafu voda wanakupa sharti la kuzitumia ndani ya saa 24, ikitokea sababu ya kukukeep busy usipige simu kwa siku hiyo ukataka kupiga kesho yake unaambiwa muda wa kifurushi chako umeisha...
  4. Busypastor

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    Kuna tofauti ya kusifu na kuabudu. Alichokifanya Bukuku ni kusifia mtu kwa mazuri anayoyaona kwake jambo ambalo ni la kawaida. Angemwabudu na kusema yeye ndiye Mungu Hilo haswa ni dhambi! Mambo mengine ni wivu tu halafu huyo malisa kwamba amesema yeye sio Mungu.
  5. Busypastor

    Bahati Bukuku amuimbia Lowassa wimbo

    Kuimba kwa Bahati Bukuku ni sehemu ya kumtukuza Mungu lakini pia ni kazi. Kama mtu kamuajili kumtungia wimbo wa kampeni na kumpa fedha ulitaka atunge wimbo wa kumtukana kwa vile tu unamchukia Lowasa? Kwa habari ya udini si kweli maana tumeshuhudia Wachungaji na mashekhe wakienda kwa Lowasa...
  6. Busypastor

    Yaliyojiri Bunge la Bajeti 2015/16 Dodoma Mei 12, 2015

    Serikali imepeleka mswada wa mahakama ya kadhi bungeni. Pinda
  7. Busypastor

    Hapo anayefaidi ni nani?

    Anafaidi mwendesha Pikipiki hiyo hasa kama siyo yake, anaichosha ile hali jioni anakabidhi kwa bosi kiwango kile kile as na ambavyo angebeba 1
  8. Busypastor

    Hili limeshakuwa tatizo: Dola sasa ni zaidi ya TZS 2,350/= Kikwete, Ndulu, Wizara wapo kimya!

    Well said! Sasa inatokana na nini kama si Viongozi wetu walioacha mapaja nje huku kila nchi ya wenzetu ikibaki kuondoa bikira. Wako wapi wasomi wa nchi hii walinusuru taifa na watz? Let's be serious please!
  9. Busypastor

    Hili limeshakuwa tatizo: Dola sasa ni zaidi ya TZS 2,350/= Kikwete, Ndulu, Wizara wapo kimya!

    Lipumba isaidie nchi imefika pabaya sarafu yake! Nakuaminia kwa maswala ya kiuchumi.
  10. Busypastor

    David Kafulila atunukiwa Tuzo kwa hoja ya Escrow

    Kafulila wa ukweli, acha zzk msaliti wa watz na fisadi ambaye yuko tayari kuuza Roho za watz kwa rupia kutoka sisiem!
  11. Busypastor

    Askofu Pengo: Nasumbuliwa na uti wa mgongo, Watanzania Chagueni Rais fukara

    Sasa nimekubali waliosema pengo anashirikia na mtoto wa mkulima kumuangamiza Gwajima.
  12. Busypastor

    Mzee moyo aipasua CCM Zanzibar vipande vipande

    Huo ni uonevu uliokubuhu! Wanatakiwa wafukuze tume yote ya mabadiliko ya katiba wakianza na Warioba, waje ofisi ya pinda. Hivi Kumbe Ccm inataka katiba yake siyo iliyochangiwa maoni na wana nchi akiwemo Moyo? Na kama ni hivyo kwa nini kupoteza fedha nyingi kukusanya maoni? Kwa nini kukalisha BMK...
  13. Busypastor

    Nataka kuvuna maji ya mvua, nitumie dawa gani yasiharibike?

    Naomba kujua bei ya mashine ya kupandisha maji kutoka kisimani to Simtank.
Back
Top Bottom