Inawezekana kuzima HANDSET PASIPO kumshirikisha MANUFACTURER, Kinachohitajika ni kujua utambulisho wa kifaa yaani IMEI, taarifa hizo zinapatikana kwa service provider ( VODACOM, AIRTEL, TIGO, etc) so kinachofanyika ni ku disiable IMEI zote ambazo haziko registered kama ORIGINAL BRAND!
TCRA wana...
Naomba ushauri wako kulingana na issue yangu Je katika Situation hii kama wafanyakazi tunaweza kudai Fidia ya UNFAIR TERMINATION OF CONTRACT? Nimeuliza swali hili kutokana sintofahamu iliyopo juu ya Hatma ya wafanyakazi kwa MNUNUZI mpya wa SHARES!
Salaam kwa Wadau wote!
Nahitaji msaada wenu kwa wataalamu wa Sheria za Ajira!
Mimi nimeajiriwa katika kampuni binafsi kwa mkataba wa KUDUMU( PERMANENT CONTRACT) tangu mwaka 2013, mwaka jana mwishoni tulipewa taarifa kuwa KAMPUNI imepata mnunuzi ambaye amenunua SHARES zote kwa 100% kwa hiyo...
Njia iliyotumika kukutapeli ni hii, yawezekana kuna siku ulimpatia mteja handset yako unayotumia kutuma pesa akaingiza codes fulani ambazo kila unapofanya muhamala taarifa anazipata, au anaweza kusave number yake kwa jina la M-PESA kwenye simu yako, so kilichotokea baada ya kujua kiasi...
Asante sana Mkuu kwa ushauri wako wa kitaalamu, nimejaribu kumuuliza kuhusu kutumia njia za uzazi wa mpango, ameniambia amewahi kutumia vidonge kwa kipindi cha miezi mitatu, vikamletea tatizo la kupitiliza siku, kutokana na maelezo yako nadhani ni sababu mojawapo.
Pia aliwahi kwenda kupima...
Hello wadau nahitaji msaada wa kitaalamu zaidi kuhusu tatizo la Mwanamke kuingia Bleed mara 2 kwa mwezi, Nina mchumba ambaye ana tatizo hilo, wakati mwingine humtokea na kuingia mara 2 na wakati mwingine inakuwa mzunguko wa kawaida wa siku 30
Nahitaji kujua sababu ya tatizo hili, tiba yake na...
Imetokea leo, nimepita hapo mida ya saa 6 kasoro, mimi nimeuliza waliopo kwenye tukio wamesema imeua mmoja!
Mimi naelekea Bukoba mida hii na private Car
Mimi huwa ananikera sana mpaka natamani kubadilisha station, pia hana mtiririko mzuri katika kuchangia anadakia hata sehemu ambayo hajaruhusiwa kuongea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.