Recent content by BusinessTZ

  1. BusinessTZ

    Msaada anaejua namna ya Kuandaa ndizi kwajili ya Export kwenda nje ya Nchi Nimuajiri anahitajika hata saivi

    Karibu tufanye hiyo kazi, kwani ni kazi nzuri na tutaifanya kwa uhakika na badae tunaweza kufungua fursa kwa kuwatumia mazao mengine kama spices za hiriki, mdalasini, pilipili manga, karafuu n.k kwani pia ni vitu waarabu wanatumia sana ikizingatiwa sasa ni msimu wa mavuno kwa mazao mengi...
  2. BusinessTZ

    WAZOEFU NA BIASHARA, NAWEZAJE KUPATA 20K PERDAY KWA MTAJI WA 5M

    Fungua barber shop ya kiwango Cha kawaida. Hakikisha ipo sehem yenye mzunguko mkubwa wa watu. Unaweza kupata zaidi ya 20k kwa siku
  3. BusinessTZ

    Natafuta kazi au kibarua chochote Dar es Salaam

    Mimi ni mwanaume, ninaweza pia kufanya hiyo kazi. Nimejaribu kukutumia ujumbe PM ila imegoma. Nipo Dar es salaam
  4. BusinessTZ

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Sinza A karibu na apartment za Delina .

    Pia nipo tayari kufanya hiyo kazi ya kilimo cha ufuta ndugu, hali yangu kiuchumi ni ngumu sana, nina hali kubwa ya kupambana lakini mtaji umekua tatizo sana kwangu.
  5. BusinessTZ

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mchezo utarudiwa, ila kama mchezo usiporudiwa ndani ya saa 48, utarudishiwa pesa yako na kama uliweka timu zaidi ya moja basi watapunguza odds za mchezo ulioahirishwa na kulipwa pesa za odds kwa timu ulizoshinda.
  6. BusinessTZ

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Match suspended due to medical emergency
  7. BusinessTZ

    Pengine kwenye hili wataona haya ama wataona aibu

    Kwanini usiweze peleka propaganda kwenye misiba? Unatakiwa ujue mtaji wa mwanasiasa yeyote ni watu, haijalishi hao watu wamejumuika kwa ajili ya sherehe, msiba, kanisani, msikitini n.k Chama chochote kinachotaka ushawishi lazima kiwe na kitengo cha propaganda kinachofanya kazi vizuri. Nchi...
  8. BusinessTZ

    Pengine kwenye hili wataona haya ama wataona aibu

    Ushakua chawa wa CCM? Huyo mtu nikimuona kwakweli najisikia hovyo sana..!!! Ingewezekana ku block picha zake kuonekana katika sim yangu kwa namna zote, hakika ningefanya hivyo kwa gharama yeyote.
  9. BusinessTZ

    Pengine kwenye hili wataona haya ama wataona aibu

    Hiyo ndio maana yake, usisubiri kupata huruma au msaada unapopambana, utaishia kulalamika kama unavyofanya. Dunia hii haina usawa wala huruma. Kaza msuli.
  10. BusinessTZ

    Pengine kwenye hili wataona haya ama wataona aibu

    Watanzania jifunzeni kwamba siasa ni game ya propaganda. Hautakiwi kuwa na chuki binafsi kwenye siasa sababu siasa mtaji wake ni watu, propaganda n.k ili mradi kunapofanyika hizo propaganda kusiwepo uvunjifu wa amani, sheria n.k Kama CCM wanafanya propaganda kwenye misiba, Chadema fanyeni...
  11. BusinessTZ

    Matukio ya watu kupotea na kutekwa na 'watu wasiojulikana' kuendelea kuzua hofu kwa wananchi, nini sababu ya matukio haya?

    Matukio ya kutekwa au kuteka (kidnaped or kidnaping) ni jambo linalohusisha kuingilia uhuru wa mtu kwa kumkamata pasipo kufata utaratibu wa kisheria na haki za kibinadamu katika nchi husika na kisha kwenda kumuweka au kumficha katika sehemu isiyo rasmi kisheria mfano nyumba za mateso, nyumba...
  12. BusinessTZ

    Nahitaji kujua sehemu ama taasisi zinazotoa mafunzo ya matumizi sahihi ya silaha

    Wewe ni hovyo tu, Kama mtu unashindwa kutofautisha mada inayohusu siasa na mada inayohusu ufundi, utaweza kweli kujenga hoja kwenye siasa zinazohitaji uelewa mkubwa?
Back
Top Bottom