Recent content by BusinessOriented

  1. B

    Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

    Halafu hao waliopata hizo alama ni weupe tu...Nina shemeji yangu alikimbia shule PCB baada ya kutoka na Saba olevel...zamani mtu anayepiga Saba olevel na tatu advance wanakuwa smart kweli kweli..sio sasa..ni almshaka..labda kwa government.... lakini private wengi ni almshakaaa Sanaa
  2. B

    Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

    Dah bila shaka dogo kaajiliwa local government...ni engineer somewhere...
  3. B

    Mafundi acheni janja-janja

    Mafundi wengi wezi...Mimi nimempa advance ili anichongee milango ila naona sasa ni utata mtupu...niliona anazidi kudai hela tu.. mara grinder mbovu mara sijui nini...nikamwambia inamaana unategeamea pesa yangu pekee kuendesha ofisi yako!? Hakuna kazi za wengine hapo....yaani mpaka sasa hivi...
  4. B

    Naombeni Ushauri: Siwezi kuishi bila kuwatania watu

    Dah shida imeanzia hapo kwenye kijana wa miaka 48
  5. B

    Moyo wangu unauma sana

    Kaka achana nae. Mimi nilishatapeliwa mara mbili lakini niliamua kuachana na masuala ya urafiki...niliamua kuendelea na maisha yangu. Cha ajabu hao rafiki zangu walianza kujiongelesha kwa watu. Kuwa jamaa anaroho ngumu sana. Ilifikia hatua kuna mmoja alimpigia wife kuwa dah jamaa naomba...
  6. B

    Kuna dawa inayotibu kabisa ugonjwa wa kifafa?

    Nikipata namba nitaiweka hapa.
  7. B

    Kuna dawa inayotibu kabisa ugonjwa wa kifafa?

    Nilisikia kuna jamaa anaitwa Sam yupo Misungwi pale pale mjini stand...ukimuulizia mtu yeyote Sam jamaa wa dawa za asili anakupeleka...kuna mtoto wa shemeji yangu huyo shemeji yangu aliniambia anatibiwa pale na jamaa nasikia ndio kazi zake...amerithi kutoka kwa baba yake...inamaana alianza tangu...
  8. B

    Naomba Hotuba ya Rais Samia isomwe Makanisani na misikitini kwa mwaka mzima

    Bado hamjasemaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  9. B

    Hiki ni nini? Naombeni ushauri nachanganyikiwa. Nimekopa Milioni 14 natakiwa kurudisha Milioni 39

    Yaani wanatia huruma hawa ndugu zetu...sijui Wana nini...yaani kila utapeli unaanza na wao..dah
  10. B

    Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

    Watu wengi vilaza sana...kazi yao kuunga mkono vioja....jeshi linapaswa kuwa home of major inventions....wao wanapaswa kufukuzia ukuaji wa technolojia dunia na kulinda rasilimali za nchi.... sio kupekua wananchi kutafuta sare...hilo mbona simple tu..wawaachie polisi tu...
  11. B

    Chadema Wajikite kwenye Katiba Mpya suala la DP World limeshashughulikiwa na Waraka wa TEC pamoja na akina Mwabukusi!

    Kwani kulikuwa na tatizo katika Hilo? Hebu yaeleze...kama yalikuwepo au yapo..
  12. B

    Nimekutana na changamoto hii nikifuatilia passport, naombeni ushauri

    Umesema ukweli...yaani Mimi Huwa nashangaa sana...yaani mtu analetewa NIDA iko hovyo...anatulia tu... leaving certificate iko hovyo anakaa tu..analetewa taarifa za necta ili apitie na kurebisha bado anazingua...birth certificate inashida bado mtu katiulia...siku anakwama anaanza...
Back
Top Bottom