Recent content by bushziggy

  1. B

    Clouds FM, hiki mnachofanya ni kampeni kwa CCM

    ktk hali hii ya kisiasa hapa nchi tunabidi tufikilie mara mbili mbili..kwa kweli cmm wamebolonga kuendesha nchi..na vyama pinzani haviongei sera za umuhimu kwanza..wanabaki kuzungumzia vya kututeka akili kwanza..najua kila mtu anapenda utajiri na maisha bora je kwa hali halisi itawezekana swala...
  2. B

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Dats gud..biashara km hiyo ukianza unabidi kwanza ufahamu gunia moja linatoa ndoo ngapi za viazi,nakila ndoo hutoa sahani ngapi..itakuwa rahisi kujua faida yako na hasara,kwani hata utajua kilo moja ya nyama inatoa mishikaki mingapi,au faida ya kila trei ya mayai..nisimple biznes to...
  3. B

    Wapenzi wengi ni wanafki wanapokuwa mbele za watu, nini kinachokuzuia kufanya haya?

    Nachoweza sema mambo hayo hayafai kitamaduni coz tumezungukwa na jamii na watu walika tofauti,je watoto zetu wanajifunza nn wakikuona una kiss public,da end of da day wataenda kwenye swala la kuvuana chupi wakiwa bado umri mdogo,je ungependa kuona mwanao wakike akifanyiwa maswala ya ajabu akiwa...
  4. B

    Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

    Mmmmmh haya Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Back
Top Bottom