Recent content by Buseleke

  1. B

    JamiiForums Tanzania Siipendi tabia za Makonda 'kupetipeti' abiria hususani wake za watu

    Mada hii inafanana na tabia mbaya wanayofanyiwa wanafunzi wakitaka kuingia kwenye daladala pengine husukumwa wakati huo sisi kama raia na wazazi wa watoto hao tunaona na hatukemei. Hatuwezi au tunafanya nakusudi, leo hii unalalamikia tabia ya makonda kuwashika mabega, kutoa lugha chafu, n.k...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Je, Saving Foundation loans ni wakweli?!

    taasisi hii anaijua mama Salma Kikwete
  3. B

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Mashine ya BVR yaibiwa Nyumba ya Kulala wageni (Guest House)

    kazi imefanyika rafiki kama huioni mpigie kamanda wa polisi akupe habari.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi wa UDOM mwaka watatu ajinyonga akiwa zahanati ya chuo

    Jamani nawaasa sisi tulio wazi, tuonapo mgonjwa wa aina yoyote tunayeishi karibu naye iwe chouni au nyumbani tuweni karibu nao kwa mgonjwa anapokuwa mpweke anawaza mpaka anafikia kikomo. Ni muda mzuri wa kuendelea kumpa ushauri na kumfariji, na inaondoa kufikiria kuwa hana thamani duniani. Wengi...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni Nchi ya 56 kwa Wananchi kuwa na furaha na nchi yao

    Kwa kweli ni shida, utafiti huu ni halisi unasadifu yaliyomo nchini Tanzania mfano mzuri Health services pale Mwanza siku hizi Bugando sio ile ya zamani, mgonjwa kulazwa kwa siku 150,000/= taslimu kama hauna unakufa. Hapa siwezi kusema kwa mridhisha mtawala kuwa nina furaha. Ni huzuni mtindo mmoja.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Akamatwa uwanja wa ndege Dar na kobe 173. Taa zilizimwa ili kufanikisha utoroshaji!

    Hivi jamani kuna vibali vya kusafirisha kobe, vinyonga na nyara zingine za serikali? Huu ni ufisadi mkubwa. Tena vibali halali. Ina maana ofisi zinazohusiana na vitu hivyo ameziweka mfukoni jama huyo. Na kama ni kuhisiwa na kukamatwa angebainika kwenye geti la kwanza tu, hapa hakuna uadilifu...
  7. B

    JamiiForums Tanzania NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kwa upande wa mikopo masharti ni magumu, mkopaji anahitaji fedha aendelezee biashara yake, anambiwa awe na cash deposite kwanza. sijaipenda. Badilisheni.
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kununua gari kwa kutumia mkopo, kama mfanyakazi ni kujitia umasikini

    wanajamii samahi hasa wanaonunua gari wakati wanaishi nyumba za kupanga. kwao wanaangalia starehe zao. Niwashauri tu kwamba kabla hujanunua gari piga matumizi ya uendeshaji wake. Kikubwa ni kuangalia matumizi ya mkopo huo je ni ya anasa yatakayopelekea kujuta mbele ya safari?
  9. B

    JamiiForums Tanzania Sherehe za kutenga makanisa Mtaa wa Newala SDA

    Watumishi wa Mungu asanteni kwa kufanya marekebisho madogo madogo. Mungu awabariki.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Sherehe za kutenga makanisa Mtaa wa Newala SDA

    Hatimaye baada ya miaka mingi kupita, kanisa la waadventista wasabato Newala limebarikiwa kwa kutenga makanisa mawili kwa wakati mmoja ambayo ni Mnyambe sda church na Namalenga sda church. Makanisa hayo yametengwa tarehe 24/25-05-2015. Mungu abariki Mtaa wa Newala uzidi kupanua wigo wa injili. Amina
  11. B

    JamiiForums Tanzania Sherehe za kutenga makanisa Mtaa wa Newala SDA

    Hatimaye baada ya miaka mingi kupita, kanisa la waadventista wasabato Newala limebarikiwa kwa kutenga makanisa mawili kwa wakati mmoja ambayo ni Mnyambe sda church na Namalenga sda church. Makanisa hayo yametengwa tarehe 24/25-05-2015. Mungu abariki Mtaa wa Newala uzidi kupanua wigo wa injili. Amina
  12. B

    JamiiForums Tanzania Ni bora kumiliki gari au nyumba?

    wengine wanaona upuuzi kuanza na nyumba, kwao ni vyema wawe na gari. lkn suala zuri ni hili ni vyema kuanza na nyumba. Jiulize je wazee vijijini walianza kununua baiskeli au kujenga? Chukua hatua.
Back
Top Bottom