Hatimaye baada ya miaka mingi kupita, kanisa la waadventista wasabato Newala limebarikiwa kwa kutenga makanisa mawili kwa wakati mmoja ambayo ni Mnyambe sda church na Namalenga sda church. Makanisa hayo yametengwa tarehe 24/25-05-2015. Mungu abariki Mtaa wa Newala uzidi kupanua wigo wa injili. Amina