Ukubwa kivip. Hiyo Dom eneo Lake 2000km² na zaid wamechukua hadi mashamba hukooo ya kilimo Mwanza 400km² na Viwanda vingi vinahamishiwa nje ya Jiji. Ukipigwa kubali sio kuhamisha magoli. Kwanza kwa hilo eneo la 2000km² mlipaswa kulingana na Dar kwa mapato
Serikali yenu haijengi Sewage system na wakat wanaijua geography ya Mwanza what do you expect?. Kama kipindupindu kimetokea ni wakati wa serikali yako kujengwa sewage system
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.