Kama nilivyocheka jana ais
Attempts zingepatikana vipi endapo rafu za wachezaji wa Namungo zilikuwa nje nje! Adabu yao ni penalti tu waache kuumiza wachezaji maana kama walitumwa vile.
Kajinyakulia jukumu la u-King Maker wa mchi hii katika kipindi akiwa bado hai, yaani kisha jihakikishia marais wajao hadi 2040 ni maswahiba wake yaani after SSH anaingia Nchimbi.
Ni kuhakilisha tu madudu yote yale ya Escrow, Meremeta, Tangold Richmond na memgine hayafufuliwi na kushughulikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.