dogo naona anakuja juu mno bila kujielewa aiambie serekali kuu au mkuu wa mkoa amletee, mkurugenzi na mkuu wa wilaya mbona wanakasma tofauti vilevile anaweza tumia oc yake.
hawa majaji ndio wale mambumbumbuu wote, wameingiziwa hela, alieingiza pesa kwenye akaunti zao ana utata na serikali, wenzao mawaziri wamewajibishwa wao bado wanachunguzwa ili iweje kama walipokea au hawakupokea.
ninafikiri issue sio kupimwa afya tu bali pia ni muhimu kuainisha magonjwa ambayo mgombea hatakiwi kuwa nayo yanayoweza kumzimisha ghafla mfano presha, kisukari na mengine hatarishi.
nyambafu kachezea akili yetu muda wote huo kukanusha hadi mishipa ya shingo inamsimama huyu nae jela inamwita maana ana makosa lukuki likiwepo kutudanganya kama watoto wake ilihali hata chekechea alijuwa wazi kuwa dili kama hili lisingeweza kumpita. Yaani hivihivi tu uache watu wanagawana pesa...
tatizo tra yetu wanaendekeza njaa sana cif huwa wanazikataa mara oo! umefanya dili na madalali wa japan bei iandikwe ndogo ndio maana wengine wanaona bora wafikishie znz au mombasa
yaani hapo ndio joka la kibisa linapotaka kujionyesha kuwa lina meno, vidagaa tu kwani hawa si walishirikishwa tu, wachora madili wakuu na waliobeba sandarus wameachwa mzee hosea vipi makengeza hayaishi au? pia ilishasemekana sio za umma sasa nn?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.