Recent content by Buruguja

  1. Buruguja

    Hii ndiyo sababu ya mimi kutokuwa na huruma na Ndugu

    Kuna kitu hakipo Sawa kwenye hii Hadithi yako maan Hadithi ya kuanzia utotoni haiwezi kuisha Kwa mistari michache ulioiandika, Otherwise kuna kitu unatuficha. Pili, Kwa nin unaamini kwamba Dada yako alikuwa na uwezo wa kukusomesha? Imani uliyokuwa nayo kwamba Dada yako ana uwezo ndo Imani hyo...
  2. Buruguja

    Jeshi la Uhamiaji wamenirudisha Nyumbani wakidai sipo Fiti. Nimepoteza dira ya maisha

    Huyo Jamaa yako hakukwambia ukweli, Jeshini ukitengwa Kwa kigezo cha kupewa program maalumu basi ujue kwamba kilaza Kwa kile wanachokuwa wanakifundisha, Wao kule wanaita NANGA, Kwa hyo jamaa yako na hao wenzake walikuwa MANANGA na sio kwamba walikuwa unfit
  3. Buruguja

    Jeshi la Uhamiaji wamenirudisha Nyumbani wakidai sipo Fiti. Nimepoteza dira ya maisha

    Kuwa na Mtoto ndo kilichomuondoa na si vinginevyo, Pili; Tukiachana na hii habari ya upande wa dada,Jeshini hawaanini majibu kutoka hospital nyingine na ndio maan hata kama umepimwa wapi lazima na wao wachukue vipimo vyao, Na vipimo vyao wanachukua muda wanaotaka wao na ndio maan kuna mtu...
  4. Buruguja

    Say no kwa kocha wa Simba

    Kila mtu ana mtazamo wake, Mimi nikupige majungu wewe (Matola) kwani ninakula kwako, au nimeajiliwa Simba kama wewe (Matola)?, Kwa kuwa Simba ni Taasisi ya Watu wengi lazima itasemwa Tu. Inawezekana nimeandika ujinga kutokana na Fikra zako lakin na Wewe ungeandika welevu wako hapa ili watu waone...
  5. Buruguja

    Say no kwa kocha wa Simba

    Tatizo ndo liko hapo, Kwa Timu ambazo Matola amefundisha kama Kocha Mkuu, (Lipuli,Polisi,) alikuwa anafany Vizuri na Ndo Ka Fimbo anakowapigia Viongozi na Mashabiki wa Simba Hadi kufikia hatu ya Kuona Makocha wazungu hamna kitu
  6. Buruguja

    Say no kwa kocha wa Simba

    Simba ilianza kucheza Darby na Yanga kabla hata Matola hajawa Mchezaji, Je,Kwa Mechi ambazo Simba alikuwa anashinda Dhidi ya Yanga, Matola ndo alikuwa anapanga Kikosi? Hata wakimleta Gadiola wa Manchester City akafanye Kazi na Matola bado Simba itafungwa na Yanga tu
  7. Buruguja

    Say no kwa kocha wa Simba

    Mkuu umeongea Vyema Sana, Pamoja na Mambo mengine lakin tatizo la Simba ni Matola sema amejificha kweny kivuli cha Ukongwe ili kuwapumbaza watu na Siku wakijakushtuka ni kumekucha, Bahati mbaya zaidi hakuna wanaoliona kama ni tatizo, Yanga walishagundua tatizo kama hili linaloitafuna Simba ndo...
  8. Buruguja

    Sipendezwi na jinsi inavyolazimishwa sasa CDF kuwa chini ya Waziri wa Ulinzi 'Kiprotokali' wakati Waziri wa Ulinzi ndiyo anapaswa kuwa chini ya CDF

    Mzee alimove na Cheo chake Kwa Sababu alitoka JWTZ, Huku alikohamia hawezi na hakuweza kutambulika kama Mej Gen. Ila alitambulika kama CGP yaani Mkuu wa Jeshi la Magereza ambae Kwa wadhifa wake wa CGP anakuwa level moja na hawa Wakuu wengine (CDF,IGP,CGI na DTISS). Kumbuka Kwa upande wa JWTZ...
  9. Buruguja

    Sipendezwi na jinsi inavyolazimishwa sasa CDF kuwa chini ya Waziri wa Ulinzi 'Kiprotokali' wakati Waziri wa Ulinzi ndiyo anapaswa kuwa chini ya CDF

    Kitu Ambacho watu hawaelewi ni neno MAJESHI kama linavyotumika Kwa Mkuu wa Majeshi, MAJESHI kama ilivyo/inavyo tumika Kwa CDF ni Vile vikosi vyote vilivyochini ya JWTZ, Mfano Kikosi cha Anga, Maji, Nchi kavu nk ni vikosi vyenye yadhi ya kuwa jeshi kamili na inatambulika hivyo, Kwa hyo Neno...
  10. Buruguja

    Pale mke anapofungwa miaka 30 jela na hurusiwi kuongeza mke, hii hali inatatuliwa vipi?

    Kitu Ambacho kanisa limekaa kimya ni kuhusu Baadhi ya Watu kunyimwa Baadhi ya Sakrament za Either Ndoa au Update, Mfano, Mahanithi (either wa kusababishwa au wa kuzaliwa),watu wenye Jinsia mbili nk
  11. Buruguja

    Pale mke anapofungwa miaka 30 jela na hurusiwi kuongeza mke, hii hali inatatuliwa vipi?

    Cha kuongezea, Ndoa haitakiwa kufungwa kama kuna Chembe Chembe za Uongo, Kwa maan hyo wew unaetak kufunga Ndoa wakati unajua ni hanithi inadhihilisha wazi kabisa kwamba ulikuwa Muongo Kwa Mwenzio
  12. Buruguja

    TRA Buzuruga ondoeni haraka sana walinzi hawa wa SUMA JKT

    Watu wengi mnaenda kweny ofsi za watu mkiwa na majibu yenu,ikitokea ukajibiwa vinginevyo unaanza kuona kama umeonewa. Hapa jukwaani tutaamini vipi kwamba huyo unaedai ni Mzee alikuwa amevaa kaptula Ndefu?, Kwa nini wew Tu na huyo Mzee ndo mzuiliwe! UTAPATA HUDUMA KAMA ULIVYOENDA, Haiwezekani...
  13. Buruguja

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kuna sehem niliCOMMENT sema cjui ni Uzi huu au Mwingine ila CCP hawaamin vipimo vya sehemu nyingine yoyote ile hasa kipindi cha Mafunzo, Kila kitu kinaanza upya, Iwe Afya,vyeti nk. Hata kama umebakisha mwez mmoja kumaliza ikibainika una tatzo lolote la kiafya au la kivyeti unaondolewa haraka...
  14. Buruguja

    Kwanini wakala wa Tigo Pesa, M-pesa, Airtel Money hawataki pesa itolewe na mtu wa mbali?

    Utaratibu wa Kifedha ni Umhudumie mtu unaemuona, Kama Wakala utamwambia atume pesa kwa mtu aliye Mbali ni amekufanyia Msaada tu, Pili ambalo nahis ndo inatakiwa iwe moja ni Kuepuka Matapeli, Mfano, Ukiwa Dar na ukatoa pesa kwa wakala labda wa Kigoma ni Rahisi sana wew mtoa pesa wa Dar kupiga...
  15. Buruguja

    Polisi jijini Dar wamjeruhi mtuhumiwa, yupo mahututi ICU

    Sasa mkuu c ungeandika Afande Majuto na Afande Paul wa kituo cha Polisi Goba kuliko kujumuisha Mapoti wote wa Dar!!,
Back
Top Bottom