Recent content by burahanthu

  1. burahanthu

    Naombeni msaada kutumia TorghostNG tool

    Naombeni msaada kutumia TorghostNG tool kwenye Oracle VM, pia Github remote verification ni tatizo naomba script zake tafadhali kwa mwenye kufahamu.
  2. burahanthu

    Hebatitis b confusion

    Kuhusu Hepatitis B kuwa positive inategemea na kipimo kipi vinginevo nikuambie tu kuwa hepatitis b kuna vipimo vingi na ili mtu aanzishiwe dawa ni lazima atapima si chini ya vipimo vitatu ama zaidi ndipo daktari afikie uamuzi wa kusema anza dawa .. nakupa home work nisaidia hili huyo ndugu yako...
  3. burahanthu

    Kiongozi wa Kundi la Wahalifu Mombasa auawa kwa risasi

    mh. a smear compaign to fulfill certain goals? may be why inventing this for whom,...do we still have to believe that some one will just kill others simply?
  4. burahanthu

    Iran yazindua mfumo wa kisasa wa makombora wa Khordad 15...unapiga mpaka kilometa 150

    Mbona kama Advanced Patriot ya Reythion....au ameshapiga photocopy ya Patriot
  5. burahanthu

    Habari yako Mkuu

    Mpelekeni kwa mtaalamu wa mfumo wa chakula ikiwezekana afanyiwe kipimo cha OGD, ikishindikana daktari wa PUA/KOO/SIKIO atamaliza ....anaweza kuwa na Gastro Esophageal Reflux disease, KUMBUKA ukifika kwa daktari unapaswa umwambie unavosumbuka ama kujiskia hii ni nyenzo muhimu sana dr kufikia...
  6. burahanthu

    Uncertified google play store issues

    Kuna habari kuwa google wanampango wa ku block android os zote zenye uncertified google play store, hapa inatuhusu wale tulio root simi
  7. burahanthu

    Bima ya afya inalipia kipimo cha MRI?

    NHIF inagaramia isipokua ufuate utaratibu wala hakuna ubabaishaji
  8. burahanthu

    Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

    Hemorrhoids ...huo ugonjwa asilimia kubwa sio dawa tu. Waone madaktari wa mfumo wa chakula
  9. burahanthu

    Makosa yanayofanywa na madaktari kwa wagonjwa

    Hii inawahusu wote. Zingatieni hii 1. Kama huna imani na hospital ama dr flani katika hospital usiende kutibiwa ama usijipeleke kutibiwa na mtaalam usiye muamini 2. Ukifika kwa dr usijifanye unajua kumuamrisha vipimo vya kukupima wewe sio mtaalamu na utajipotezea muda na pesa yako kwa kuwa...
  10. burahanthu

    Magari ya polisi aliyokarabati Makonda yanazidi kumpa kiki

    Kuna mengine tukubali pia..bunafsi aijawahi ona huo muudo wa magari ya polisi..kwa hili tusibeze
  11. burahanthu

    Rooting Android 7

    Android 6.0 nilisharoot kitambo ngoja nitume screen shot Sent using Jamii Forums mobile app
  12. burahanthu

    Rooting Android 7

    Mi nina tumia android nilashairoot kitambo tokea mwezi wa nne mwaka huu...best inahitaji kuwa expert kidogo KWANZA TAFUTA CORRECT FILES ZA RECOVERY MODE NA LA SUPER USER THEN FINALLY WINDOWS OS NA APPLICATION YA ODIN Sent using Jamii Forums mobile app
  13. burahanthu

    Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

    Lock down pro.. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. burahanthu

    Ukwaju watajwa kuwa Dawa ya magonjwa lukuki

    Hivi kule wanakotumia sana juice ya ukwaju huwa takwimu za vifo zipoje??? Tutumie akili zetu jamani Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom