Abdalah Lyimo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 269
- 153
Mkuu Mimi Nina mama angu Anasumbuliwa na Koo anadai panauma Kama panawaka Moto saa nyingine anahisi Kama panashimo kubwa na akila au akinywa hapaumi ila akitulia ndo anasikia maumivu tumezunguka kila Aina ya Hospital wanachodai ni vidonda vya tumbo msaada wenu please ....