Ubaguzi wa dhahiri unaonyeshwa na baba mwenye nyumba.
Inaonekana pia majukumu ya mbunge hayafahamiki sawa sawa kwa baba mwenye nyumba.
SUALA la maendeleo nalo linaonekana ni hisani ya baba mkubwa na siyo jukumu lake kwa mujibu wa katiba.
Baba anapaswa kuwaunganisha watz na siyo kuwagawa kwa...
Mimi na MEYA wa MOSHI nani analeta SIHASA katika hii HOJA ya Corona?
Yeye kawaambia wajumbe wote wavue barakoa kwenye kikao cha BARAZA LA MADIWANI, unadhan nini kitatokea kwa jamii pana ya MOSHI na watanzania wa KAWAIDA?????
Kiongozi ni kiigizo cha JAMII, unachofanya wewe kama kiongozi...
Hakuña mtanzania anayehitaji watanzania wawe Lockdown, wanachotaka ni mkuu kujitokeza na kuuhabarisha umma juu ya uwepo wa huu ugonjwa na kuwataka watz wachukue tahadhari.
Pia watu wapimwe na taarifa za ugonjwa huu zisiwe siri.
Information is power man
Yaaani ni maajabu KWELI KWELI, ni wajinga tu watawadanganya. Eeenh na SARUJI alikwishatoa MAELEZO? Inaumiza saaana, mara kadhaa wanasiasa wadanganyifu wamekuwa chanzo cha mateso kwa wananchi
Angalia bei ya sukari, kabla ya mwaka 2015 au awamu ya 4, sukari ilikuwa kg1@sh 1800.00, wakaja wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.