Recent content by Bunny Wailer

  1. Bunny Wailer

    Kwenye katiba, na wapi imeandikwa maandamano ni haki ya Mtanzania?

    Habari, Kwa wiki kadhaa sasa wimbo kuhusu maandamano umekuwa unaimbwa na watu mbalimbali, kadhalika kukemewa na viongozi wa vyombo vya usalama. Swali langu dogo ni hili; Je, ni wapi katika katiba maandamano yanakatazwa kwa wale wanaoyakemea, na ni wapi kwenye katiba maandamano yanaruhusiwa kwa...
  2. Bunny Wailer

    Zitto Kabwe: Muswada mpya wa Pensheni una matatizo makubwa

    Kumbe ndiyo maana unajiita Domokaya, unaongeaongea tu yasiyofaa. Na inaonesha wewe si mfanyakazi, ungekuwa mfanyakazi nadhani usingeongea kama ulivyoongea. Kaa pembeni ili mjadala ujadiliwe na wanaojua nini kimo ndani yake, wewe huwezi kuwa na mchango positive kwa hili.
  3. Bunny Wailer

    Muswada mfuko mpya hifadhi ya jamii, umebeba mambo mazito

    Muswada haueleweki, sijui walioripoti ndiyo kuna vitu wameviacha.
  4. Bunny Wailer

    Muswada mfuko mpya hifadhi ya jamii, umebeba mambo mazito

    Nashindwa hata kuandika baada ya kusoma yaliyomo kwenye muswada huo. Kifupi ni maumivu, enyi TUCTA, enyi wabunge, tusaidieni hiki kinachokwenda kufanyika kwa kweli ni kutiana umasikini. ========= Serikali imewasilisha Mus-wada wa Sheria ya Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma 2017 ambao...
  5. Bunny Wailer

    Nataka kuwashitaki PPF, naombeni mawazo na muongozo mzuri.

    Na wewe tunga ya kwako. najua umeshiba unasaza ndiyo maana unasema hivyo.
  6. Bunny Wailer

    Nataka kuwashitaki PPF, naombeni mawazo na muongozo mzuri.

    Asante Belo. Ni moja ya ushauri ambao pia nimepata toka kwa baadhi ya watu kwamba niende kupeleka malalamiko yangu huko SSRA, yasiponiridhisha ndipo niende mahakamani. Asante tena.
  7. Bunny Wailer

    Nataka kuwashitaki PPF, naombeni mawazo na muongozo mzuri.

    Asante ndugu kwa hilo. Maana kuna nyakati mtu analeta mizaha wakati si nyakati za mzaha.
  8. Bunny Wailer

    Nataka kuwashitaki PPF, naombeni mawazo na muongozo mzuri.

    64Gb.......ingekuwa kwamba waliofukuzwa na waliopunguzwa hawapewi, mimi nisingehangaika; ningejua ni suala la wote. Ila kilichonisukuma hasa baada ya kupata shauri wa kwenda kortini ni ule ubaguzi. Kwamba wanaopunguzwa wanapewa halafu waliofukuzwa akina mimi hatupewi. Hiyo ndiyo complaint yangu...
  9. Bunny Wailer

    Nataka kuwashitaki PPF, naombeni mawazo na muongozo mzuri.

    Dragon, asante sana kwa majibu mazuri. Inawezekana sijaeleza kila kitu kutokana na hali niliyo nayo hivi sasa, hivyo ili nieleze kila kitu, kuna mazingira mtu anayetaka kujua zaidi toka kwangu, itamlazimu kuniuliza zaidi. Dragon, mimi sikuwa mwajira wa shirika la umma. Mimi nilikuwa mfanyakazi...
  10. Bunny Wailer

    Nataka kuwashitaki PPF, naombeni mawazo na muongozo mzuri.

    Habari wana jamvi...!! Nina tatizo na ningeomba nipate ushauri wenu ikibidi muongozo wa namna gani nifanye ili kupata ufumbuzi na haki zangu. Ni hivi, miezi sita sasa nimepoteza ajira kwa kufukuzwa na mwajiri wangu. Baada ya kupoteza ajira, nilienda ofisi za watu wa ppf kufuatilia mafao yangu...
Back
Top Bottom