Haya mambo kweli yapo na hakuna dawa Kali yenye uwezo Wa kupambana na uchawi isiyochanganywa na kiungo..na kiungo sii lazima kipatikane kwa MTU aliye hai.hapana hata kwa maiti kama Kule mochuar watu wanaenda kununua..kiukweli dunia hii INA siri kubwa
sana ikiwekwa wazi kila MTU ataogopa
Kiukweli mwangili upo juu kwa sababu umeamua kuwa mbunifu hata mimi mwanzo wakati najifunza nilofokiri niwe mtu wa kurepeir lakini nilifikiri nikaona niwe.mtuu wa kuunda..
Vifaa..nikaanza kujifunza vitu muhimu..mpaka sada naweza kuunda vitu kadhaa..lakini kiukwwli kubuni mwenyewe siwezi...
mkuuu rakim hata kama mkuu pasco. Mimi bwana sasa nimerudi kijijini lango ni kuja kutambika kidogo.. Lakinai nikiwa huku kijijini nimeota nipo chooni,si unajua choo cha bush tundu la choo hapohapo na hilo ndio septic tank...... lakini gafla sijui kilichotokea nikajikuta shimo la choo lipo wazi...
Leo kwenye kipindi cha teknoleo kinachorushwa na tbc walikuwa na jamaa waliotengeneza sola panel kwa kutumia mkaa na inafanya kazi.
kama kuna anaefahamu kuhusu hilo tusaidiane hapa.
Wewe hujajua heshima ya mtu kuwa kwake kwa sisi wachaga heshima nyumba..bwana.. Mimi huku pori nimeangusha kitu.. Na pale kijijini naenda kuweka jengo..hiyo ndio heshima..na usiseme ml14 mtu atajenga nyumba ya aina gani..kumbuka mitindo ya ujenzi ipo mingi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.