Vijana msidanganywe na huyu mjinga , mkipata kazi mnajeng a CV zenu na hivyo kujiendeleza kimaisha na baada ya hapo siku hizi nchi mbalimbali zinahitaji waalimu toka Tanzania , wanahitajika walimu wa Kiswahili sehemu mbalimbali duniani. Huyu mleta mada ni wa kumpuuza .
Nadhani maendeleo mnayotaka nyie ni kuandamana kila siku na kufanya mikutano ya kisiasa kila siku . Kazi za kujenga nchi zisipewe nafasi maajabu ya upinzani haya.
Mimi nalima napata sitegemei serikali maana akili ni nywele na kila mtu ana zake , labda wewe ndio jinga unayepotosha watu , ni nchi gani inayoshauri wananchi wake wawe wavivu na ikipata maendeleo , yaani wewe ni wa ajabu kabisa.
Hakuna anayekuamini wala kukusikiliza wewe uza vitabu vyako vya ujasusi maana wewe pia ni ndumila kuwili na msakatonge tu. Usijifanye mfia chama wakati unafahamika .
Hospitali na Zahanati nchi nzima
Miradi ya Maji nchi nzima
Kuongeza fedha za Mkopo kwa Elimu ya juu
Kuogeza fedha za kununulia Dawa MSD
Kuhamia Makao Makuu Dodoma
Ujenzi wa mabarabara nchi nzima
Madawati nchi nzima
Kukarabati shule za zamani nchi nzima
Ujenzi wa kiwanja cha Kisasa Dodoma
Gesi...
Fanya kazi kijana acha uvivu nani kasema hayo,hata Mungu hawezi kukubariki kwa uongo wako wa kutunga sie tunampenda sana Rais wetu anatujali sana , tumia akili na maarifa kupambana na maisha hakuna anayeweza kuzuia riziki
Huu ni uzushi angalia hapa
Elia F Michael.
Diwani Gwarama.
Mbunge nje ya Bunge.
Mwenyekiti wa madiwani Kanda ya Magharibi.
04/October/ 2018.
Nzega-Tanzani
Sasa huyu ni Diwani wa wapi anayependa uzushi wa kijinga namna hii , unaleta vipicha vya zamani kuja kuichafua serikali ,jamani tubadilike...
Tueleze kafanyaje na nini kifanyike ili kukabili badala ya kuleta historia za kutunga tunga hapa jamvini. Na sidhani unayoyaaandika yana ukweli wowote zaidi ya kupotosha umma uichukie serikali iliyopo madarakani, kama wabunge wameamua kwa akili zao nani watu wazima na akili zao timamu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.