Recent content by Bulyambata

  1. B

    Britannica ameishiwa mafaili ati anampigia Locosta ampe File no 97S

    Huku kwetu bara hatuna waimba taarabu wa dizaini yako.
  2. B

    Kwamba naye mkuu wa muhimili fulani anawekwa pembeni?

    :Agakakskagesh: :Agakakskagesh: :Agakakskagesh:...Daah,sikuelewa maana ya TACLE
  3. B

    PostGE2025 Voices from Within: Mauaji ya wananchi Dar, tusiwalaumu Polisi. Je Amri ya kuua Ilitoka kwa muuaji huyu?

    :EZclap: :EZclap: :EZclap:...Uko sahihi kiongozi. Hasa SHEIKH MAJINI,alikuwa anaiba na kuharibu mali za watu alipopigwa risasi.
  4. B

    Dark days 17/03/20

    Uko sahihi Lamomy. Yeye enaenda kutegemea current situation. Sijui ni kwa nini watu wanamwamini hivyo!!
  5. B

    Kuna uhusiano upi kati ya wakulya na biashara ya nyama ( Butcher)?

    Usinikumbushe Nyaruyeye.....................2019 nilimpoteza mwanangu hapo!
  6. B

    GE2025 Mfanyabiashara wa Kariakoo, Sherry afariki dunia kwa kupigwa Risasi na Polisi

    Daah! Afadhali! ulivyokuwa unawachachafya wanaume (keyboard warriors) kwenye ule uzi wa GE2025 Updates: Matukio muhimu kuhusu Maandamano ya tar. 29 Oktoba 2025, baadae ukapotea ghafla,nilibaki na masononeko yasiyoelezeka .Thanks our almighty God that you are here!
  7. B

    GE2025 PICHA: Sura za wanaodaiwa ni Askari walioshiriki kuua maelfu ya Watanzania

    :EZclap::EZclap::EZclap:.....Ahsante sana Madam kwa jibu zuri.
  8. B

    Kwa unyama huu, nachukia muungano kuliko hata shetani Samuya

    Much appreciations for your insightful infos!!!
  9. B

    GE2025 Polisi: Padre aliyedai ametekwa, hakutekwa. Alisafiri mwenyewe kwa basi na kwenda Mbeya

    :D :D :D.....Dah!!! Sheikh...Kwa hiyo wote wanaokula mbuzi-katoliki (nguruwe),wakiwemo ma-ustaadh wenzio, akili zao zimeathirika?
  10. B

    Kabla hujaamua kumuoa muulize kwanza ana msimamo gani kuhusu Mwamposa, Tony, Kuhani Musa, Mwakasege na Geor Davie

    Kwa nini unatumia nguvu kubwa hivyo kujibishana na hili jinga??? Ukiona mwanaume anajiita MamaSamia, ujue hakuna mtu hapo. Kuna zwazwa!!
  11. B

    Je, chadema masalia imemvua Tundu Lisu uenyekiti wa chadema taifa kinyemela na kumtelekeza korokoroni?

    Kwa hiyo wewe kichwani huna jingine zaidi ya kumuwazia mabaya Tundu Lisu???
  12. B

    Wakili Tundu Lisu ni mahiri wa kukariri na kuzieleza sheria mbele ya wasio jua sheria, lakini ni mnyonge mno mbele ya mahakama na wanao zijua sheria

    Daaah!!! Yaani nchi hii tukiwa na watanzania elfu 2 tu wenye upeo kama wako, tutakuwa ni nchi ya HOVYO kuliko zote duniani!!!
Back
Top Bottom