Kweli CHADEMA mlikuwa mmeshupaa kabisa kuwa selikali ya awamu ya tano hii tunayo ianza kesho tusiwe na huduma ya wahudumu kama akina Magufuli?
Kweli ukawa na CHADEMA divyo mulivyokuwa mumezamiria kuwa watanzania tumupoteze magufuli kwenye selikari yakesho eti tu, kumutunzia heshima Lowassa...
Fredrick Sumaye nahitaji nikukumbushe ile hoja yako wakati unakihama chama chako.ccm ulisema umekucha kusaidia upinzani ili uwe na nguvu.
Sasa napenda nikuulize swali hivi kwa sasa unamushauri nini mbowe?aedelee kubaki kuwa rubani wakuedelea kubadirsha via angani au apumuzike kabisa? ili...
wanachadema munatakiwa mujibu hili swali kama mutajibu hapo dipo mutakapo elewa kwamba huu uchagunzi uliofanyika tarehe ishirinitano muliibiwa au mumeshindwa tu kwasababu ya ulofa wenu.kwanza watanzania waliamua kua wawafundisheni kuwa wanaelewa kuliko munavyo wafikrria nyie eti hawajui.hebu...
ndungu nataka kukufahamisha kuwa hata ikitokea kwamba uchaguzi ukafutwa nakuludiwa Leo huyu luowasa wako hats hiyo asilmia38 aliyoipata inaweza pungua.
haiwezakani mtu utoke kisesa mpaka mwanza mjini huku ukiacha shughuli zako maalumu nakufuata kitu ambacho hakimo kwenye mawanzo wala utashi wako eti tu umebebwa na Lori bule.
kwamutaji huo ukawq kwajkweli hamuha tens nyimbo na ikizikatiwa kuwa pia jipu lilokuwa linawapaisha munalo huko linasubiri kupsuka baada ya huku kwetu kupifwa mamitishamba nakuhamia ukawa nakuaza kuvimba upya hapo lazima mtachemusha tu kwasababu kuja kukomaa kabisa nakupasuka ukawa mutakuwa...
hapo mamamkwe ndiyo uelewe kuwa ushindi kwa ccm niwakufikia tu. angaria hiyo kijani no mtaji tosha ya hiyo kijani ikimwagika ile tarehe25 tayari kamba zitakuwa zimeshawaingia kwahilo tu mamamkwe usihofu.
wewe mke wa mtu nataka kukujulisha kuwa ccm na magufuli wapo wanazunguka nchi nzima kwalengo moja tu kuwaomba watanzania wakipingie kura chama cha mapindunzi pamoja na bwana magufuli .ile tarehe 25/10/015 ili waedelee na mikakati yakujenga Tanzania mpya siyo vyiroja nakushangiria upumbavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.