Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,776
...
Kura zilizotangazwa siyo zilizopigwa na wananchi. Magufuli kapigiwa chini ya 38%, unategemea watu watafurahi wanafurahi nini? Hao chini ya 38% ndiyo unaowaona wakiandika upumbauv hapa ili kuwa brainwash watu eti waanze kukenua eti wanashangilia ushindi wa nani?
Ccm ilivyoua elimu inataka watu wasijua hata kujumulisha na kutafuta asilimia? Ili hata inapotegneza matoeko fake ya kura watu wasitambue ila wabaki waki ---- hands?
Hapana. game halijaisha. sasa ndiyo linaanza.
Ninafanya utaratibu wa kuwakutanisha watu wote ambao tuna makampuni ya usafi wa maofisini, fumigation, na vikosi vya ulinzi ili tuwashikishe adabu hawa mahaini. Hatuna bunduki kama walizonazo wao lakini tuna mioyo, dhamira na maarifa.
Nchi itakuwa salama lakini haitatawaliwa kwa mabavu na mahaini hawa ccm.
Kura zilizotangazwa siyo zilizopigwa na wananchi. Magufuli kapigiwa chini ya 38%, unategemea watu watafurahi wanafurahi nini? Hao chini ya 38% ndiyo unaowaona wakiandika upumbauv hapa ili kuwa brainwash watu eti waanze kukenua eti wanashangilia ushindi wa nani?
Ccm ilivyoua elimu inataka watu wasijua hata kujumulisha na kutafuta asilimia? Ili hata inapotegneza matoeko fake ya kura watu wasitambue ila wabaki waki ---- hands?
Hapana. game halijaisha. sasa ndiyo linaanza.
Ninafanya utaratibu wa kuwakutanisha watu wote ambao tuna makampuni ya usafi wa maofisini, fumigation, na vikosi vya ulinzi ili tuwashikishe adabu hawa mahaini. Hatuna bunduki kama walizonazo wao lakini tuna mioyo, dhamira na maarifa.
Nchi itakuwa salama lakini haitatawaliwa kwa mabavu na mahaini hawa ccm.
Kwasasabu hizo asilimia mnatoa nyie ccmndungu nataka kukufahamisha kuwa hata ikitokea kwamba uchaguzi ukafutwa nakuludiwa Leo huyu luowasa wako hats hiyo asilmia38 aliyoipata inaweza pungua.
ndungu nataka kukufahamisha kuwa hata ikitokea kwamba uchaguzi ukafutwa nakuludiwa Leo huyu luowasa wako hats hiyo asilmia38 aliyoipata inaweza pungua.
Itakuwaje makini wakati hakuna pesa?Akiba yote iliyokuwepo imetumika kumuingiza Magufuli madarakani.Mh, Mkuu embu punguza hisia kidogo1
Mi nafkiria, bodi ya mikopo hadi sasa haijatangaza majina ya first year waliopata mikopo sasa vp ikitangaza na kuonekana wanafunzi wengi hawakupata mikopo.
Hisia zitaamka upyaaa, wazazi wataumia sana.
Serikali inapaswa iwe makini haswa hapa mwanzoni.
Nakifkiria walimu, Madaktari, wafanya biashara, wafanya kazi watakavyo banwa kwenye ukusanyaji wa kodi nabaki nimeduaa sijui watajiskiaje!
lile ni Tingatinga,,likianza kazi mtatafutana,,NI KAZI TU...