Recent content by BULLCHEKA

  1. BULLCHEKA

    Bomu la Nyuklia: Jielimishe hapa

    Hayo mabom unayosema ya Pakistan na India ni ya masafa mafupi km kilometres 250, hivyo hayamdhuru mmarekani kwani lengo la mabomu hayo ni wao kwa wao Pakistan na India kisha mbili ana.
  2. BULLCHEKA

    Niwaulize watu wa Arusha, mnataka mageuzi gani?

    Wewe unayewauliza wana wa Arusha wanataka nini we ni nani mpk uulize swali km hilo. Haujui hata unachoongea unadhani hapa ni sehemu ya porojo? Umbea km huu umetumwa na nani?
  3. BULLCHEKA

    Lowassa/CHADEMA wanateswa na dhambi ya kumdhihaki na kumdhalilisha Dk. Slaa

    Mwankijiji , hebu toa matokeo ya Urais km yule yuda msaliti ( slaa) ANGEGOMBEA kupitia CDM, angepata % ngapi ya kura? Je, huyo yuda angekuwa rais wa nchi hii? Je, unadhani huyo slaa angeshindwa urais akahisi ameibiwa kura hali ya nchi kwa sasa ingekuwa ktk hali ipi? Ninavyomfahamu huyo...
  4. BULLCHEKA

    Lowassa/CHADEMA wanateswa na dhambi ya kumdhihaki na kumdhalilisha Dk. Slaa

    Mwanakijiji unadhani hicho unachoongea kinatoka mioyoni au kipo nje ya fikra zako, umekuwa ukiandika humu ndani chunga sana kauli zako usjje ukaonekana km abunuasi. Huyo slaa ni nani mpaka ayumbishe chadema?
  5. BULLCHEKA

    Dr. Tulia Ackson, nani amekutuma? Unataka nini? Kwanini?

    Huyo dr, tula kadi ya ccm kupata wapi kwa wakati huu anaotaka kugombea uspika? Mtu ni mtumishi wa umma kadi ya katoa wapi? Tafakari!
  6. BULLCHEKA

    Kwanini T. B. Joshua kaikanyaga ardhi ya Tanzania Pekupeku?

    Je, kwa wakati wetu huu utawatambuaje manabii wa kweli? Zipi Vigezo za kuwajua?
  7. BULLCHEKA

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, ajipima ubavu na Wana-Mwanza

    Unamsema Lema wakati huyo Lema atakuwa huko rock city kuwajengea watu ujasiri. Huyo Mkuu wa mkoa wa mwanza anamjua sana Lema tena akisikia tu Lema atakuwepo huko siku hiyo atakubali yaishe.
  8. BULLCHEKA

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Toeni taarifa sahihi km hakuna uhakika na usemacho fanya utafiti kwanza, suala la kifo ni issues nyeti sana
Back
Top Bottom