Recent content by bullar

  1. bullar

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    Mpeni hela yake ikibidi mtafutieni nyumba nyingine kosa ni lenu sio lake
  2. bullar

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    Dhambi za mtu zinakuhusu nini?, mna uhakika wapangaji wengine hawapakuani vinyesi?
  3. bullar

    JamiiForums Tanzania Ile ilikuwa VAR au Azam Tv?!

    Kama huwezi kupata nyama kula hata utumbo
  4. bullar

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Endelea kuota
  5. bullar

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Kwa mshambuliaji yupi?
  6. bullar

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Refa akikataa unafunga lingine
  7. bullar

    JamiiForums Tanzania Hawa mashabiki wa Simba wanaosema wakawashitaki viongozi wao kwa Rais Samia wana akili kweli?

    Nikisikia mtu anaongea habari za Samuya hua namuona Lofa pro
  8. bullar

    JamiiForums Tanzania Mo Dewji aahidi $11.3 milion kwa ajili ya uwanja wa Simba

    Wapi okwi boban sunzu aka Kipenzi Changu
  9. bullar

    JamiiForums Tanzania Zemanga soze kashakuja sana bongo hapa na timu tofauti tofauti na hajawahi kupoa

    Kasha kuja na Mazembe hapa mara kadhaa alifanya nini? nyie ndio wale mnaenda kuoa wanawake kwenye harusi unamkumbuka Chikwende?
  10. bullar

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Mo Simba day nini maoni yako

    Mo ni msanii kila mwaka analalamika anakwamishwa, amechukua hatua gani ili asikwamishwe?
  11. bullar

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu Baya anaalikwa kwanini?!!! Yanga mmenikera sana

    Mwendo wa kupigana miti
  12. bullar

    JamiiForums Tanzania Huu ni upendeleo au mbona ngao ya jamii msimu huu ni mechi moja?

    Twende mbele turudi nyuma au twende mbele tu Simba msimu huu utakua mgumu sana
  13. bullar

    JamiiForums Tanzania Simba Day yaingia doa yakubali kichapo | Simba SC 0-1 Kenya Police | Mechi ya kirafiki | Uhuru | Agosti 8, 2026

    Chamsingi tarehe 12 waende uwanjani
Back
Top Bottom