Jeshini wamegawanyika na ndio maana hakuna kuaminiana tena kati ya maaskari!! Ishara moja ya wazi ni jinsi Samia anavyojitahidi kuwajaza wazanzibari huko jeshini!!
Waarabu ni ndugu zake kwa upande wa mama yake na ndio maana kuna picha alipiga na mjomba wake mwarabu alipotembelea huko Oman!!
Kitu ambacho Samia hakimo kichwani mwake ni uchungu walionao waarabu wa kufukuzwa Zanzibar mwaka 1964 kwa kupitia mapinduzi!! Mpaka leo hii wametafuta njia ya kutaka...
Hawezi akawa na umri mrefu kwasababu hana Amani katika nafsi yake!! Samia ana stress sana nyie hamjui tu yote hiyo kwa sababu hakubaliki na walio wengi hivyo hana legitimacy na hicho ndio kitakacho muua!! Anajitahidi kuhonga pesa ili watu wamkubali lakini wapi!!!
Hii ni serikali ya Samia ambayo haina legitimacy!! Kwavile haina uhalali ndio maana wanahangaika hawatulii na Samia mwenyewe hana AMANI katika nafsi yake!! Sintashangaa kama huyu mama hata usingizi hapati kwani damu za watu aliowaua lazıma zitakuwa zinamsuta!!! Kutokuwa na Amani kwake ndio...
Msipoteze wakati wenu na huyu mzee changudoa ni wa kumyanyapaa tu !! Mzee mzima anamtia aibu hata hayati mwalimu kwa kujihusisha na jina lake kwani hastahili kabisa kuwa karibu na jina la Nyerere!! Mzee ni malaya na mwenye tamaa ya pesa na kama mnakumbuka aliwahi kuiba hata pesa za usuluhishi wa...
Kuna uhusiano wa dhahiri kati ya Epstein na Iran ; common denominator yao yaani mtu anayewaunganisha ni DONALD TRUMP! Wewe huoni hilo? Hata kama hujui kusoma basi hata picha unashindwa kuona?
Wale walikuwa wanajitetea kutokana na askari na hao vijana wa uvccm kuwashambulia ; lakini uhalifu ulifanywa na hao vijana wa ccm ili kuhalibu sifa ya maandamano kuwa yalikuwa ya amani!!
Wahuni wenu toka UVCCM mliowachomekea kwenye maandamano ndio waliochoma vituo vya mafuta na vituo vya kura ili mpate kisingizio cha kuwaua wananchi waliokuwa hawahusiki na ushenzi wenu huo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.