Recent content by Bulesi

  1. B

    Mama Dorothy Gwajima suala la ushoga hulioni? Mbona linazidi kushika kasi? Umenyamazishwa?

    Wanataka Samia amfukuze kazi? Hata siku moja umewahi kumsikia Samia akikemea ushoga? Kwanini hakemei?
  2. B

    Je, ni Dkt. Samia ndio haliamini Jeshi au kuna hali ya hatari ndani ya Jeshi?

    Jeshini wamegawanyika na ndio maana hakuna kuaminiana tena kati ya maaskari!! Ishara moja ya wazi ni jinsi Samia anavyojitahidi kuwajaza wazanzibari huko jeshini!!
  3. B

    POTOSHI Samia: Ngorongoro tumewapa Ndugu zetu waarabu wawekeze

    Waarabu ni ndugu zake kwa upande wa mama yake na ndio maana kuna picha alipiga na mjomba wake mwarabu alipotembelea huko Oman!! Kitu ambacho Samia hakimo kichwani mwake ni uchungu walionao waarabu wa kufukuzwa Zanzibar mwaka 1964 kwa kupitia mapinduzi!! Mpaka leo hii wametafuta njia ya kutaka...
  4. B

    Chahali: Hakuna ubishi tena. Samia ataondoka wakati wowote, hamalizi 2026. Ila kuifuta CCM kwa ujumla, tunahitaji njia nyingine!

    Hawezi akawa na umri mrefu kwasababu hana Amani katika nafsi yake!! Samia ana stress sana nyie hamjui tu yote hiyo kwa sababu hakubaliki na walio wengi hivyo hana legitimacy na hicho ndio kitakacho muua!! Anajitahidi kuhonga pesa ili watu wamkubali lakini wapi!!!
  5. B

    Chahali: Hakuna ubishi tena. Samia ataondoka wakati wowote, hamalizi 2026. Ila kuifuta CCM kwa ujumla, tunahitaji njia nyingine!

    Hakubakia moja kwa moja lakini alihakikisha JPM anamng'oa na anamuweka pandikizi wake ambae anamuendesha kama mwanaselele!!
  6. B

    Nini kinaendelea? Internet ni shida na Askari wapo kila kona

    Hii ni serikali ya Samia ambayo haina legitimacy!! Kwavile haina uhalali ndio maana wanahangaika hawatulii na Samia mwenyewe hana AMANI katika nafsi yake!! Sintashangaa kama huyu mama hata usingizi hapati kwani damu za watu aliowaua lazıma zitakuwa zinamsuta!!! Kutokuwa na Amani kwake ndio...
  7. B

    Maombi ya Tanzania na Uganda kuondolewa uanachama Jumuiya ya madola yawasilishwa Commonwealth Ministerial Action Group (CMAG)

    Imagine hata Butiku aliyekuwa katibu muhutasi wa mwalimu Nyerere nae amegeuka kuwa CHAWA!!
  8. B

    Mzee Butiku: Tukubali tunaye Rais

    Nafasi gani aliyokuwa nayo Butiku zaidi ya kuwa karani wa Mwalimu Nyerere? Hajawahi shika nafasi ya kuchaguliwa hata siku moja!!!
  9. B

    Mzee Butiku: Tukubali tunaye Rais

    Msipoteze wakati wenu na huyu mzee changudoa ni wa kumyanyapaa tu !! Mzee mzima anamtia aibu hata hayati mwalimu kwa kujihusisha na jina lake kwani hastahili kabisa kuwa karibu na jina la Nyerere!! Mzee ni malaya na mwenye tamaa ya pesa na kama mnakumbuka aliwahi kuiba hata pesa za usuluhishi wa...
  10. B

    Sijajua vigezo vilivyotumika kumteua Mwigulu kuwa Waziri Mkuu, hafai

    Watu wanaopatana huwa wanakuwa na tabia sawa!!
  11. B

    Epstein alipomuua Khamenei

    Kuna uhusiano wa dhahiri kati ya Epstein na Iran ; common denominator yao yaani mtu anayewaunganisha ni DONALD TRUMP! Wewe huoni hilo? Hata kama hujui kusoma basi hata picha unashindwa kuona?
  12. B

    Tetesi: Inasemekana pamoja na kujipendekeza kuhudhuria msiba wa Pengo lakini hajatambuliwa, yaani hakutajwa popote

    Wale walikuwa wanajitetea kutokana na askari na hao vijana wa uvccm kuwashambulia ; lakini uhalifu ulifanywa na hao vijana wa ccm ili kuhalibu sifa ya maandamano kuwa yalikuwa ya amani!!
  13. B

    Tetesi: Inasemekana pamoja na kujipendekeza kuhudhuria msiba wa Pengo lakini hajatambuliwa, yaani hakutajwa popote

    Wahuni wenu toka UVCCM mliowachomekea kwenye maandamano ndio waliochoma vituo vya mafuta na vituo vya kura ili mpate kisingizio cha kuwaua wananchi waliokuwa hawahusiki na ushenzi wenu huo!!
  14. B

    Tetesi: Inasemekana pamoja na kujipendekeza kuhudhuria msiba wa Pengo lakini hajatambuliwa, yaani hakutajwa popote

    Ridhaa ya kutawala hutokana na UCHAGUZI WA HALALI unaoukubalika na wanaochagua walio wengi na sio kikundi cha wahuni wenye silaha!!!
Back
Top Bottom