Recent content by Bulesi

  1. B

    JamiiForums Tanzania Tizama Hapa: Rasmi Magari Yapunguzwa Katika Msafara Wa Rais Samia ili Kutimiza Ahadi Yake. Yatembea Katika Mfumo Wa Kikomandoo Na Kijeshi

    Sina muda wa kukujibu wewe chawa mzee ni bora nikupuuze tu!! Huyo shangazi yenu hajui hata exchange rate ya EURO na U.S. Dollar!!! Hiyo mikataba anayokwenda kusign nadhani huwa hajui anasign nini hivyo kwa hiki kipindi chake wajomba zake waarabu wametuibia sana na sasa Mungu kawalaani wanapigwa...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Toa ushahidi ni wapi umewahi ona mwanamke mwenye makalio makubwa akawa na akili popote pale Duniani?

    Na huyu Tibaijuka alipokuwa anaitwa Kajumulo alikuwa na mzigo wa nguvu ambao kwasababu ya umri umefifia!!! Muulizeni Jakaya Kikwete alikuwa nae JKT operation TUMAINI!!!
  3. B

    JamiiForums Tanzania Tizama Hapa: Rasmi Magari Yapunguzwa Katika Msafara Wa Rais Samia ili Kutimiza Ahadi Yake. Yatembea Katika Mfumo Wa Kikomandoo Na Kijeshi

    Huyu shangazi hana uzalendo hata nusu moja na kweli kama angekuwa anaipenda nchi hii zaidi kuliko anavyopenda UARABUNI angewapenda na watanganyika pia!! Lakini sivyo hivyo uelewa wake wa kuwa mzalendo ni kupenda nchi na kuiba maliasili zake lakini kuwaua wananchi wake!! Samia anajua kuwa hana...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje Vicky Kamata ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa TAWA!

    Huyu ndio aliyesababisha JIWE kwenda mkukoromea Ndullu point blank kuwa kulikuwa na ufisadi unatendeka pale na ndio kikawa kisa cha Ndullu kutoendelea na contract!!!
  5. B

    JamiiForums Tanzania Imekuwaje Vicky Kamata ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa TAWA!

    Hawa ndio washikaji wa Jakaya Kikwete; mmesahau kuwa alikuwa analipwa mshahara na BOT ili hali hafanyi kazi kule mpaka alipokuja furumishwa na Magufuli? Halafu akaja kupewa ubunge wa mchongo na sasa baada ya hapo mkwere Rais kivuli wa bongo ndio kamtafutia nafasi hiyo!!!!
  6. B

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Samia kwenye page ya Ikulu imefutwa muda mfupi baada ya kuhutubia

    Huyu Shangazi mchemsho kweli, toka lini wezi wanaacha kuiba kwa KUZOMEWA? The lady is empty and lacks confidence!
  7. B

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29 yaongezewa Muda tena hadi Aprili 24, 2026

    Hizo pesa walizotumia kwenye hiyo tume pamoja na zile zilizoibwa na mashirika ya umma zingeweza tosha kutumika kama subsidy ya mafuta ya petrol wakati huu ; ikiwa njia ya kuwapunguzia wanannchi machungu ya maisha!!!
  8. B

    JamiiForums Tanzania KERO DSE na VERTEX Securities wanaua Soko la Hisa na Kudhulumu Wagonjwa – Mifumo imekufa, Pesa zinapotea!

    Sawa hata kama ni yake si lazima awepo mtu wa kununua pale anapotaka kuuza?
  9. B

    JamiiForums Tanzania KERO DSE na VERTEX Securities wanaua Soko la Hisa na Kudhulumu Wagonjwa – Mifumo imekufa, Pesa zinapotea!

    DSE haiwezi kuwa kama masoko mengine duniani kwasababu uongozi wake sio innovative na ndio maana mtaji wake mdogo!!!
  10. B

    JamiiForums Tanzania Tungekuwa na bunge ambalo sio rubber stamp. Rais Samia angeondolewa madarakani kupitia ibara ya 46A ya katiba ya JMT kwa kumteua Agela Kizigha

    Usichanganye suala la Angella Kizigha na marehemu Lowassa!! Lowassa alikatwa kuwa mgombea urais toka ccm kwa sababu ambazo wao waliomfahamu walisema alikuwa mchafu!! Sasa kama watu waliomlea na kumkuza walisema alikuwa mchafu kimaadili ni nani zaidi wa kubishana na hukumu yao? Kwa juu juu tu ...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Tungekuwa na bunge ambalo sio rubber stamp. Rais Samia angeondolewa madarakani kupitia ibara ya 46A ya katiba ya JMT kwa kumteua Agela Kizigha

    Kangi Lugora hana credibility yeyote na ndio maana alitolewa uwaziri!! He ws compromised by the mtandao criminals who were behind the police Uniforms scam pamoja na contract ya drones za Zimamoto zilizomponza Kangi Lugora mpaka akafukuzwa uwaziri!! Kumbukeni kuwa hayati magufuli alilielezea...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Tulia kashaanza kutoa mlio tumsamehe au tumwache aisome namba?

    Nimekua nikitafakari kwa kina sababu iliyofanya hata wawili hawa waliokuwa marafiki ghafla wamekuja kuwa maadui wakubwa! Kumbukeni kuwa Tulia akiwa spika wa bunge ndio alikuwa kinara wa kutetea na kupitisha mipango haramu ya kuhujumu nchi kama vile mikataba ya Dp World na ule wa yule muhindi...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Dkt. Tulia: Tulipata maarifa kutoka kwa Lukuvi, Usipotaka kuwa mwizi angekufunza

    Lukuvi kama alikuwa anawafundisha wabunge wasiwe wezi basi yeye lazıma alikuwa ndio mwizi aliyekubuhu na ndio maana alizijua mbinu hizo!!! Mahotel na apartments alizokuwa anamiliki Dodoma na Dar angezipataje kama sio kutuibia humo serikalini?
  14. B

    JamiiForums Tanzania Mama Dorothy Gwajima suala la ushoga hulioni? Mbona linazidi kushika kasi? Umenyamazishwa?

    Wanataka Samia amfukuze kazi? Hata siku moja umewahi kumsikia Samia akikemea ushoga? Kwanini hakemei?
  15. B

    JamiiForums Tanzania Je, ni Dkt. Samia ndio haliamini Jeshi au kuna hali ya hatari ndani ya Jeshi?

    Jeshini wamegawanyika na ndio maana hakuna kuaminiana tena kati ya maaskari!! Ishara moja ya wazi ni jinsi Samia anavyojitahidi kuwajaza wazanzibari huko jeshini!!
Back
Top Bottom