hapana mkuu mita 11 ni sawa na futi 35 na mita12 ni sawa futi 39 sasa huo ni mjengo wa maana kabisa au unataka kujenga hekalu kijiji kizima kihamie kwako.
Huitaji eneo kubwa sana unahitaji eneo lenye ukubwa wa mita 20 kwa 40 ambapo kiwanja hicho ni sawa na medium ambapo ukubwa wa nyumba itachukua kama ukubwa wa mita 11 kwa kwa 12 na eneo hilo litabaki na eneo kubwa tu kwa ajili ya bustani nzuri na sehem kubwa tu kwa ajili ya parking,bembea za...
Ni kweli kaka kwa maelezo hayo tu inatosha kabisa kuwasaidia vijana wa kitanzania wabadilike na kubadilisha mtazamo wa kimawazo unaweza ukaanza na kazi ya ajabu ajabu lkn ikakutengeneza na kuwa mtu mkubwa baadae kutokana na elimu yako ukapaa kiurahisi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.