Recent content by bulama

  1. bulama

    Wakulima wa Kitanzania wanaweza shindana na hizi Foreign Stores/Masuper Market Ila Kabla ya hapo lazima tunondoe mentality za ujamaa Vichwani

    Hawa wanaoharibu mzao kwa uonevu ndo waje kukumbuka kufanya hayo unayowashauri. Watu wengi wako madarakani lakini sijuhi kama wanatambua wajibu wao. Wizara ya kilimo, ushirika sijawahi elewa kazi zao kabisa. Uganda wananunua kahawa za Tanzania kwa magendo lakini kahawa hizo zinafanya vizuri...
  2. bulama

    KERO Ujumbe wa malalamiko dhidi ya viongozi wa Wilaya ya Missenyi

    Umeharakisha kujibu ungeuliza kwanza. Kesi zipo mahakamani kinachoshangaza nikuona uharaka wa halmashauri kukata mazao wakati kesi bado zinaendelea. Ndo sababu hasa ya kuona kama kuna nia siyo njema
  3. bulama

    KERO Ujumbe wa malalamiko dhidi ya viongozi wa Wilaya ya Missenyi

    Pamoja na yote lakini kwa sasa ndo inajukumu la kuhakikisha kero za raia wake zinapungua au kuisha kabisa. Kuna watendaji hasa wa huku chini wanatia doa sana serikali ujue kwa masrahi binafsi wakati mwingine.
  4. bulama

    KERO Ujumbe wa malalamiko dhidi ya viongozi wa Wilaya ya Missenyi

    Hakuna anayekukatalia ila hifadhi nayo ina utaratibu hasa ikitaka kuanzishwa eneo ambalo tayari shughuli za binadamu zimeanza kufanyika
  5. bulama

    KERO Ujumbe wa malalamiko dhidi ya viongozi wa Wilaya ya Missenyi

    Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo mgogoro mkubwa kati ya wananchi wa vijiji vinavyozunguka eneo la Bushenya na Halmashauri ya Wilaya ya Misenyi, mkoani Kagera. Jina “Bushenya” lina historia na maana ya kina. Kwa lugha ya Kihaya, kushenya humaanisha kuchanja kuni, yaani shughuli ya kukata na...
  6. bulama

    KERO Ujumbe wa malalamiko dhidi ya viongozi wa Wilaya ya Missenyi

    Asante sana kiongozi. Ndo tulipo hapo kama Taifa
  7. bulama

    KERO Ujumbe wa malalamiko dhidi ya viongozi wa Wilaya ya Missenyi

    Serikali imetangaza kuwepo kwa ukame katika baadhi ya mikoa nchini. Hata hivyo, licha ya taarifa hizi za kitaifa, viongozi wa Wilaya ya Missenyi wamepuuza uhalisia uliopo katika Mkoa wa Kagera—hasa Bukoba na Missenyi—ambapo kumekuwa na mvua za kutosha na mazingira mazuri kwa uzalishaji wa...
  8. bulama

    Wassira: Sababu kubwa ya kutoweka kwa amani ni ukosefu wa haki

    Bado anaendelea kuongoza ile bodi? Nauliza tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. bulama

    Picha: Bombardier ya Kwanza Nchini Uganda 'Uganda Airlines'

    Mbona haina mapanga Shaa? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. bulama

    Hivi aliyeruhusu wanafunzi wa sekondari kuvaa hijabu alijua madhara yake?

    Imeanza Enzi za Mkapa, Kikwete muache kwenye hili. Vuvugu lilianza kipindi cha Mwinyi Sent using Jamii Forums mobile app
  11. bulama

    Tundu Lissu si wa kupuuzwa, anapaswa kujibiwa

    Kijani kibichi Sent using Jamii Forums mobile app
  12. bulama

    Tundu Lissu si wa kupuuzwa, anapaswa kujibiwa

    Siyo taifa ni Serikali, taifa halichafukagi Sent using Jamii Forums mobile app
  13. bulama

    Majini, Mapepo, Maruhani, Uchawi na Kitimoto/Nguruwe; ukweli ni upi?

    Uko sawa kabisa. Sisi huwa ni Wa kuletewa na tunapokea tu bila kuhoji. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. bulama

    Kilimanjaro yaongoza tena kitaifa matokeo ya kidato cha nne 2018, Kagera yaburutwa mbali

    Na nyampara wao 8081 Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom