johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,667
Mhadhiri wa chuo kikuu Dsm amefurahishwa na namna Prof Kabudi alivyoshughulikia mkataba wa Airtel na amemuomba Rais Magufuli aipe tume hiyo hiyo kazi ya kupitia upya mikataba ya ubinafsishaji wa Kampuni ya Sigara ( TCC) na Benki ya biashara NBC na ikiwezekana hata mikataba ya ukodishaji ndege iliyokuwa inafanywa na ATCL.
Source TBC habari!
Source TBC habari!