Nimesoma uzi wa jamaa nikamkumbuka demu mmoja alikuja ofisini kwa muda tu nikampokea vizuri kama mgeni siku kama tatu nne ivi nikawa namsave chai na chakula cha mchana basi baada ya hapo nikamkaushia nikawa napiga chai na lunch kama kawaida bila kumjari sasa sijui alidhani endelevu basi kuna...
Unaonekana wewe unafikira za kuwa ukiolewa basi wewe ukainjoyi tu mdada wewe ukome kabisa hata huyo kijana unaemtaka tafadhari usimsogelee ushindwe na ulegee. Kama unaona mwenzio Hana kazi ya kueleweka na tiyari kashakupenda wewe huoni utaenda kuwa chachu ya mafanikio yake tena ukiwa mshauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.