ni kweli anaweza kuwa amewasilisha hiyo mitaala lakini tunapaswa kujiuliza,je inafuatwa kiukamilifu huko mashuleni?Hata hivyo anafaa kupongezwa kwa kutoa changamoto hiyo katika sekta ya elimu.
Ki ukeli wachaga ni watafutaji sana na hilo ndilo linawafanya waendelee lakini pia wana umoja.kubwa tujifunze ushirikuano kwao kwani kuna baadhi ya makabila we acha tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.