Unatuma copy yake iliyo na mhuri wa mwanasheria hiyo ni kwa njia ya posta lakini mtandaoni unajaza tu hiyo avn uliyopata kutoka nacte wao huko wataona matokeo yako moja kwa moja kutoka nacte.
Mkuu siyo kila anayeandika hivo ni mjinga wenginewni asili yao nimeona watu want master kabisa lakini kwenye kuandika hizo herufi ni kimbembe hasa wahaya, waruguru na wengineo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.