Recent content by buhabi

  1. buhabi

    Kizazi kipya na wakombozi wapya wa CCM

    Ni ukweli usiopingwa hasa na watu wenye ufahamu wa siasa za nje na ndan ya nchi,siasa za kale na siasa za kisasa. Kuna kizazi ambacho binafsi nakiita THE GOLDEN GENERATION yaan kizazi cha dhahabu. Ccm baada ya kutaka kuishiwa pumzi kama kingunge alivosema ni kweli kabisa lakin hawa vijana ambao...
  2. buhabi

    Mshtuko anga la Tanzania kisiasa

    Nadhan wote mmeona kua slaa alitakiwa awe jukwaani lakin kwa sababu za kiusalama hajaweza kupanda jukwaan But as i reported i expected awe jukwaan jana tayar
  3. buhabi

    Mshtuko anga la Tanzania kisiasa

    Wakuu salaam! Hold up, nakuletea habari ambazo sio ramli ni siasa tupu. Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni. Within few days to come mshtuko mkubwa sana n pengine ndio utakao amua matokeo hasa ya urais unakuja. Wenye mihemko ya kisiasa na wasio na political maturity ni vema wakajiandaa...
  4. buhabi

    Common enemy will re-unite CCM

    Kwa hali ya mambo ilivyo ndani ya chama pendwa na kikongwe cha mapinduzi,haielezeki Kambimza urais na uhasama mkubwa sana unazid kupamba moto,niliwahi kuandika kuhusu threats zinazoletwa na uwepo wa makundi hasimu ndani ya CCM,na leo narudia tena,dawa ipo na soon naamini inakuja Kuna tukio zito...
  5. buhabi

    Video: Sehemu ya hotuba yangu nikitangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Binafsi mwigulu namwona kama potential president Ni kijana ambaye hana makundi kabisa,kama wagombea wengi wa ccm walivo mwaka huu Mtaji wake sio pesa bali ni watu na efficince kubwa alionayo ya utendaji Huyu jamaa anaweza akadhibiti pato la taifa vema,ni mwana uchumi practically na sio...
  6. buhabi

    Baada ya kikao cha NEC ya CCM, makubwa sana yataibuliwa na Lowassa

    Narudia kusisitiza tena, Lowassa sinwakubezwa,mimi ni mwana ccm,naijua nguvu na ushawishi wake ,badala ya kumtukana ni bora waongee waelewane Ikumbukwe hata karume wa zanziba,mkapa,bilal et al wako na lowassa Ts the underground movement Hii manuali ikiibuka bahar itachafuka Huu mziki sio wa dj...
  7. buhabi

    Baada ya kikao cha NEC ya CCM, makubwa sana yataibuliwa na Lowassa

    Wakuu,naanza kwa salamu ,popote mlipo Kwa wale waliobahatika kumsikiliza katibu mwenezi wa chama chetu Nape,alisisitiza kwamba "yeye hana wivu wala hamzuii mtu yeyote kuchukua fomu ya kugombea urais ,lakin historia ya mtu mwenyewe ndio itamzuia maana kanuni zipo na ukizivunja utakwenda na maji"...
  8. buhabi

    CCM ama UKAWA MMOJA WAO KUSAMBARATIKA KAMA MNARA WA BABEL.

    Wengi mnajua stori za mnara wa babel ,hasa wanahistoria na watu wa dini kadhaa, ukiangalia kwa umakini mkubwa mambo yafuatayo yatatokea kati ya CCM ama UKAWA mmoja kati yao yatamkumba ya mnara wa babeli Naanza na ukawa,ukawa wapo vyama vingi endapo hawatasimama sawa ,ya babeli ni rahisi sana...
  9. buhabi

    Nini kitatokea endapo UKAWA hawatashinda Oktoba 2015?

    Urais unahitaji mizizi imara sana,nchi haitowezekana kuongozwa kwa viongoz wenye mitazamo tofaut tofaut,kisa wanataka nchi basi wakusanyane tu hata kama hawana common goals, Msaada mkubwa wa ukawa ni wananchi wamechoka basi,na sio sera zao
  10. buhabi

    Nini kitatokea endapo UKAWA hawatashinda Oktoba 2015?

    Nick sikia,ccm kama vyama vingine inajitutumua kuendelea kuilea tz,ukawa wakipata nchi sitachukia lakin tuwe tayar kuzimia kwa muda usiopungua miaka mitano then tutazinduka ,sijui umenipata?
  11. buhabi

    Nini kitatokea endapo UKAWA hawatashinda Oktoba 2015?

    Umeongea sahihi mkuu lakin hayo niliyoyasema ni matokeo ya uchaguz ujao,tupende tusioende hali lazima ibadilike baada ya uchaguzi,tunapenda tuendelee na aman na mshikamano ,na tatizo litakalotugawa si dini wala vyama,tofauti na wanavowaza wengi,ni mtazamo hasi juu ya maendeleo ya demkcrasia yetu
  12. buhabi

    Nini kitatokea endapo UKAWA hawatashinda Oktoba 2015?

    Wakuu nimekuwa natafakar kwa makin sana,naona kuna dalili kuu mbili Endapo ukawa watachukua nchi october ni kwa sababu kuu moja,jk atakua amewasaidia sana ,maana bila mchakato wa katiba vyama hivi visingefikiria hata kuungana Nakama UKAWA wakipigwa chini october,basi ni dhahiri mgogoro mkubwa...
  13. buhabi

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014

    Nchi yenye ubabe kuanzia kwa balozi wa nyumba kumi hadi mwisho
  14. buhabi

    Marafiki wanaojua kifaransa tupate mazoezi

    Français est facile mais il ya quelgue difference entre anglais et français
  15. buhabi

    Marafiki wanaojua kifaransa tupate mazoezi

    Tunasema desole mon ami Au mon amie (kama rafiki yakk n wa jinsia ya kike) Hakuna ma ami
Back
Top Bottom