Kwa hali ya mambo ilivyo ndani ya chama pendwa na kikongwe cha mapinduzi,haielezeki
Kambimza urais na uhasama mkubwa sana unazid kupamba moto,niliwahi kuandika kuhusu threats zinazoletwa na uwepo wa makundi hasimu ndani ya CCM,na leo narudia tena,dawa ipo na soon naamini inakuja
Kuna tukio zito...