Recent content by BUGALIBOBADIMI

  1. B

    CHADEMA wakishinda Kalenga nitarudi nyumbani kwa miguu...

    Unaweza kuwa na uhakika kabisa CHRIS, ila kuna kitu kimoja unashindwa kusema ukweli kuhusu KALENGA:inawezekana ukweli ni kuwa si rahisi kushinda kwa vyama vingine kwakuwa wananchi wake wengi BADO HAWAJITAMBUI kama ilivyo mijini......,TUHAKIKISHIE HILO KWANZA MAANA "UJINGA NA UMASIKINI"NDO MTAJI...
  2. B

    Waraka Mwl Shukia kwa Mwigulu Nchemba

    huyu MWIGULU ni kati ya watu watakaosababisha maafa makubwa hapa nchini,mbaya zaidi chama chake wanafikiri anawasaidia.
  3. B

    Baada ya Ukimya: Nape Nnauye aibukia Tamasha la Clouds FM Dodoma

    CLOUDS has lost its credibility!
  4. B

    Zitto; jipange bado nafasi ipo.

    ZITTO hafai hata kidogo,ni bora kuishi na mchawi kuliko kuishi na mnafiki.Yule alishaapa kuitumikia na kuitetea CCM daima atabaki kuwa msaliti kwa CDM.Wakimuacha chama kitakufa maana ataendelea na harakati zake otherwise avuliwe vyeo vyote ndani ya CDM.
  5. B

    Mtake msitake Zitto ni jembe

    ukiwa kama mpembuzi wa mambo ZITO sahvi inshabikiwa na wana CCM ambao si watu wema kwa CDM.kwanini media za CCM ziko kimya kwa hili?,JIULIZE CHUKUA HATUA THEN AKILI KICHWANI.
  6. B

    Mtake msitake Zitto ni jembe

    KUENDELEA KUKAA NA ZITTO ndani ya CDM,Ni sawa na kuishi nyumba moja na mwizi!.hafai hata kuwa na vyeo ndani ya chama,nashauri wamfukuze maramoja kwenye chama pamoja na masalia yake yote.ni mnafiki na msaliti mkubwa HAFAIIIIIIIIIIIIIIII
  7. B

    Hotuba ya Julius Mtatiro leo Nkrumah Hall; Je, anajenga hoja?

    jamani watanzania wenzangu tujitahidi kuwa tunasoma maudhui yaliyoandikwa na wenzetu,Binafsi leo naikubali sana hoja ya MTATIRO leo,ni nzuri sana maana inatuelimisha nini kinasumbua nchi yetu lakini pia nini kifanyike,lakini chakushangaza watu mnaanza kujadili mara imeandaliwa msikitini for...
  8. B

    Haya ndiyo matokeo ya kukimbia shule, masikini CHADEMA...

    Kwa sasa utumishi wa umma katika nchi yetu unaongozwa na Sheria ya Utumishi wa Umma na. 8 ya mwaka 2002 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2007 pamoja na kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2003 kama zilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2009 na kanuni za maadili ya utendaji katika utumishi wa umma...
  9. B

    TANESCO, Mgao wa Umeme waanza kinyemela?

    kwakweli nchi yetu mi nashindwa kuelewa,viongozi wanaongoza kama vile nyuma yao kuna mazezeta wote.ni serikali gani inayoweza kufikia mahala inadanganya wananchi wake? kama sihii ya C.CM iliyo na uhakika kuwa hata ukiwadanganya watanzania na kuwatukana na hata ukawaambia huhitaji kura zao na...
  10. B

    Chadema njooni mchukue kadi yenu

    watanzania tusiwe na mawazo mgando. tuheshimu mawazo ya mtu hasa uhuru wa kutoa maoni yake. kama anaona chadema haimfai ni mawazo yake kama vile wewe unavyo ona ccm haifai haipaswi kumshambulia. nilitegemea kuona wanachama wa chadema wanatumia nafasi hii kujifunza kwanini chama chao kinaonekana...
  11. B

    Zitto atikisa Bagamoyo leo

    Du nawatakia mema makamanda ila ZITO ......!.kIGEUGEU
  12. B

    CHADEMA si kimbilio la wasomi!

    Hapa nafikiri mtoa mada umekurupuka na unaonyesha kuwa na hasira kama vile umeambiwa C.C.M iondoke madarakani leo.Ukweli katika ufahamu wa kawaida tu CHADEMA inakubalika sana maeneo ya vyuoni,pia nina uhakika unaelewa kuwa inakubalika zaidi maeneo ya majiji km MWANZA,ARUSHA,MBEYA,DSM na pia miji...
  13. B

    Live Updates: Mwendelezo wa kusikilizwa Rufaa ya Lema - Oktoba 02, 2012

    mkuu mbona kimya?,endelea kutupa mambo ya mahakamani bana!
Back
Top Bottom