Mheshimiwa anaanga Taifa kwenda kupumuzika na kuchunga ng'ombe kijijini kwake. Kila la kheri tunakutakia maisha marefu na amani. People ooooooooooooooooz
Nadhani Ukawa wameshaona hilo kuwa ushindi wao ni mdogo sana ndo maana wanahamasisha vurugu na chama chenye vurugu hakika hata kwa Mungu hakikubaliki wangeangalia mbinu nyingine. Huo ni ushauri wangu
Nadhani wanaozomea ni wanywa viroba na mtu mwenye akiri yake hawezi kufanya hivyo maana unaenda kupinga kura wewe mwenyewe sasa zomea ya nini kama siyo utoto na udarasa la saba?
Kwa huu kuna mgombea ni Dr. pia anaweza kueleza sera na vision yake bila tatizo. hivyo, tunaomba mdahalo ufanyike tupime ukawa wa sera na mgombea ambaye anaweza kuelezea vision yake?
Ni hatari kupeleka maji kwenye bahari kwa kijiko halafu unasema umeongeza maji. Jamaa ni tajiri sasa sisi maskini tumuongezee tena sasa ni nini wakati sisi tunataka atupatie hela.
Mimi nashanga Chadema hawajagundua tatizo. kwanza wote kule hawajaenda shule ni form four au darasa la saba sasa unategemea nini katika kujaza form na kuelewa namna ya kujaza?
Mimi napita tu lakini ni hatari kama mavi na matapishi yako unaweza kuyarudia kuyala kama akili yako iko sawa. Haiwezekani tunaendelea kushangaa na chama tulichokuwa tunakiamini na leo hii kimekuwa hivyo kwa sababu ya ubinafsi wa mtu mmoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.