Ngono kabla ya ndoa ni dhambi, km huwezi kuacha oa. Kumbuka maisha ya duniani ni mafupi sana, tamaa za mwili zisikukoseshe uzima wa milele tuliowekewa tayari na BWANA YESU KRISTO.
Tu
Tunaposema "kwa mwendo huu tutafika/hatutafika" tuna maana ya kufika au kutofika wapi? Waasisi wetu ambao wengi wao ni marehemu walifika wapi? Jambo LA msingi kukaza mwendo ktk imani ya YESU KRISTO aliye njia ya kweli na uzima tufike mbinguni kwani hakuna jambo linalodumu chini ya jua
Nakushauri uokoke kwani una pepo la uzinzi linakusumbua, mtegemee YESU KRISTO maishani mwako. Kumbuka maisha ya duniani ni mafupi na baada ya kifo in hukumu. Tubu Leo tengeneza maisha ya umilele ktk ulimwengu wa roho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.