Hataki tufanye mapenzi

Hataki tufanye mapenzi

Mwambie na ww hautoi matumizi unajipanga ili uende kujitambulisha kwa wazazi wake
 
tafuta demu mwingine acha ulofa wajanja wanapiga hapo kuna mtu anamtuliza nyege zake
 
Ikifika wakati wa ucku mida ya saa 4 anaongea sana kwenye simu , ukimuliza anasema anaongea na marafiki
mh pole sana kwa kupenda, kuna mjanja anamtafuna huyo demu wako kila weekend, stuka mwanajamii forum.
 
Wakuu habarini, naomba ushauri ninademu wangu namuomba mzigo anasema hadi nikaonekane kwa wazazi wake, wakati hela ya matumizi natoa kila anapohitaji. Nitumie mbinu gani ili nimgegede? Na ninampenda sana nilimwambia aje home akaja na rafiki yake. Ushauri wenu wakuu!
Anaitwa nani!? Maana na dem wangu anachuna maboya vinaletwa kwangu....!!!!
 
siku zote mwaume kama mwanaume awezi kuforce penzi..
kama ataki unatafuta mwingine tu kama una lengo la "mgegedo for life"
 
Mwambie na ww hautoi matumizi unajipanga ili uende kujitambulisha kwa wazazi wake
Yap nimekupata sana mkuu, kweli nitaendelea kutoa mwisho wa cku ntaumia bure kwa msongo wa mawazo.
 
We kama hutaki kwenda mpe kitambulisho apele wakuone
 
Ikifika wakati wa ucku mida ya saa 4 anaongea sana kwenye simu , ukimuliza anasema anaongea na marafiki
Sasa umekuja kumshitaki huku?... man up boy, si uende kwao kama kweli unampenda sana.
 
Huyo ana mzigo mbovu anataka.ukolee kwanza kisaikolojia ili baadae usiustukie mzigo kuwa ni mbovu.

Utaniambia siku ukigegeda
 
Ngono kabla ya ndoa ni dhambi, km huwezi kuacha oa. Kumbuka maisha ya duniani ni mafupi sana, tamaa za mwili zisikukoseshe uzima wa milele tuliowekewa tayari na BWANA YESU KRISTO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom