Jamani wana Jamiiforums sote tunajua kisa cha dr. Ulimboka. Kinachonishangaza mimi hapa tangu arudi nchini kutoka mbondeni kawa kimya yuko wapi huyu jamaa, au Interejensia ya bongo imemficha asisimulie mkasa
Naomba mchango wenu Jamani
Yu wapi? Na anafanya nini?.......................
Mwalimu SEKONDARI.Nipo MANISPAA ya ,MTWARA mikindani natafuta mwalimu wa kubadilishana kutoka Kibaha,Bagamoyo,Dar es salam ama MANISPAA ya MOROGORO
Mawasiliano 0713-457989
AC,T kitakuwa cha cha kwanza kufa kabla ya mwaka 2017 na sababu ni moja tu wanashidana na CHADEMA chama pend.a na wananchi wataokana wafaasi wa maccm. Ambapo CHADEMA watabaki na hoja zito za kuvuna wanacha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.