Recent content by bruce_lee

  1. bruce_lee

    Naomba ushauri: Nimemjibu vibaya mama mkwe mtarajiwa kutokana na hasira

    Huyu dada angefanya ulivofanya angekua kwene hali nzur saivi
  2. bruce_lee

    Serikali Imedanganya tena Juu ya 1.5 Trilioni, RECEIVABLES na PAYABLES ni Chanda na Pete, Havitengamani

    Maisha magumu, watu wanawaza watakula nn siku hyo, hope 2020 watu watakuwa serious
  3. bruce_lee

    Wauza smartphone tukutane hapa

    iPhone 6s internal memory 64 gb mpya ni sh ngap
  4. bruce_lee

    Kuna vinasaba (genes) vya Ushoga--Utafiti wa kisayansi wathibitisha

    Hamna kitu km hcho, ni propaganda tu ili ushoga ukubalike
  5. bruce_lee

    Nyie mnaonaje kuhusu hili

    Kosa analofanya ni kutokuhudumia kipesa tu, ila mengne hamna shida, kubembeleza ni kipaji, kinakuja baada ya kuwa kwene mahusiano mengi, km unampenda mfundshe jinsi ya kukutreat
  6. bruce_lee

    Kwa mliowahi kurudiana na ma EX zenu naombeni muongozo

    Uliepost hii ni mwanaume au mwanamke?
  7. bruce_lee

    Naomba kufundishwa namna ya Kutongoza Mwanamke

    Inabidi uanze kutongoza ovyo ovyo, kwa siku tongoza girls ata wa5, hyo ktu itaacha
  8. bruce_lee

    Sina 'idea' ya kumbeleza

    Leo jioni hii nilikuwa naongea na wifi yenu. Shida ikaja pale aliposema sjawahi kumbembeleza na mahusiano yana miezi kama minne. Sasa apa nlipo najiuliza mwanamke anabembelezwa vipi.
Back
Top Bottom