Kosa analofanya ni kutokuhudumia kipesa tu, ila mengne hamna shida, kubembeleza ni kipaji, kinakuja baada ya kuwa kwene mahusiano mengi, km unampenda mfundshe jinsi ya kukutreat
Leo jioni hii nilikuwa naongea na wifi yenu. Shida ikaja pale aliposema sjawahi kumbembeleza na mahusiano yana miezi kama minne.
Sasa apa nlipo najiuliza mwanamke anabembelezwa vipi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.