Bitch@workKwa kupewa pesa.
Ngoja nije PM nikuoneshe nakujali, nikudanganye danganye ili mradi uridhike hahah..sawa eeKuwa karibu nae.... onesha unamjali.....mdanganye danganye tu ilimradi aridhike...hyo ndo raha yake
Leo jioni hii nilikuwa naongea na wifi yenu. Shida ikaja pale aliposema sjawahi kumbembeleza na mahusiano yana miezi kama minne.
Sasa apa nlipo najiuliza mwanamke anabembelezwa vipi.
If Monkeys had money, some of the ladies would have been in the forest by now....Kwa kupewa pesa.

Mtatunga nahau na m8semo yote ila ukweli unabaki pale pale "pesa sabuni ya roho".If Monkeys had money, some of the ladies would have been in the forest by now....![]()
![]()
kwa nini umeoa binti ambae alitakiwa kuwa shule muda huu?
Mi mwenyewe nimeshangaaMr. Lee sasa kwanini hujatuweka mashemeji?, naona ma wifi tu umewahusisha, ngoja wakujibu