Recent content by Broxine

  1. B

    Tiba ya tatizo la ANAL FISTULA

    Nina ndugu yangu amepata changamoto ya anal fistula amefanyiwa operation mbili tatizo lipo katika hatua za awali anatokwa na maji kidonda hakifungi na mwezi 6 mwaka huu wamemfanyia operation nyingine kwa kufunga njia ya haja kubwa wamemtoboa tumbo uchafu unapita hapo.Tunaomba mwenye ushauri kwa...
  2. B

    Gharama za kupaua nyumba ya vyumba vitatu na finishing

    Wakuu Habari Najenga nyumba ya vyumba vitatu Bagamoyo nimefikia kwenye boma nahitaji kupaua,kuweka grill za madilisha na milango 2 wa nyuma na mbele, plasta,kuweka floor rafu.Naomba kujua gharama za makisio za ufundi wa vitu nilivyoelezea hapo juu iwapo kuna nyongeza ya vitu vingine muhimu vya...
  3. B

    Msaada wa kupambana na uraibu wa kujichua kupita kiasi

    dhamiria kuacha then zingatia lishe na kujizua pia epuka kuangalia porn
  4. B

    Serikali itupie jicho mkata hotelini yanaposimama magari ya abiria kwa ajili ya chakula na" kuchimba dawa"

    Serikali ijikite kuangalia na kuchukua hatua kwa kituo cha mkata kwenye suala la Afya .Juzi wakati nasafiri kutokea Tanga tulisimama hapo kupata Chakula nilichukua takeaway wakati nipo kwenye gari nimeanza kula nikahisi nimekula Chakula kilicholala na kimechacha ilibidi nikitupe kwenye...
  5. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Habari wakuu naomba kubadilishana nae nije Halmashauri ya Kibaha,Bagamoyo,Mkuranga,Chalinze na Halmashauri zote za Mkoa wa Dar na wewe uje Mkoa wa Singida,Halmashauri ya Singida Vijijini
  6. B

    Unatumia mbinu gani usipigwe na mafundi kwenye ujenzi?

    Mbinu muhimu ni kusimamia wewe mwenyewe au kumtumia mtu unayemwamini
  7. B

    Kupata hati wizara ya ardhi inachukua siku ngapi?

    Nina ardhi yangu iko mkoa wa Dar es Salaam haijapimwa bado. Je, process za wizara ya ardhi kukupimia zikoje?
  8. B

    Zimebaki Siku chache aidha Watumishi wafurahi au wanune

    kwa habari za radio mbao kitu empty kazi iendelee
  9. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kwa niaba njoo Singida DC na mimi nije wilaya ya Kibaha na bagamoyo idara ya msingi
  10. B

    Msaada namna ya kupunguza kitambi

    Wadau nimekuwa nikitumia njia kadha kupunguza kitambi ikiwepo kufanya mazoezi kwa bidii,kutokula vyakula vya mafuta kwa wingi na kufanya diet.Lakini naona juhudi zangu zinagonga mwamba naelekea mwaka bila mafanikio.Mwenye njia ya ziada anisaidie...
  11. B

    Kodi ya ardhi hulipiwa Halmashauri au Wizara ya Ardhi?

    Hati ipo kwenye mchakato wa kupata
  12. B

    Kodi ya ardhi hulipiwa Halmashauri au Wizara ya Ardhi?

    Nimeona kupitia website ya WIZARA tmya ardhi
Back
Top Bottom