Kilimo isiwe sehem ya wewe kukimbilia baada ya KUKATA TAMAA kifanye kilimo kama mpango kipaombele baada ya mengine kuwa magum amini kuwa kilimo ni kizuri sana ukiandaa vyema mawazo ya utekelezaji pesa isiwe kikwazo kiasi hicho na muhim zaidi umesema unayo ardhi aisee usipoteze mda kaandae maisha...
Lakini pili usiwaze vikubwaaa ambavo vipo nje ya uwezo wako ungeweza kuanza na kias chochote kufanya harakati binafsi ila kibaya sana umenyimwa mda
So nakushauri tafuta marafiki wa ukweli kama bado huna,, washirikishe mawazo yako upate sehem ya kuegesha tu
Kila laheri mkuu
Absolutely legend,, aandae kilo kadhaa mimi nilikaa semester3 buku ilikua inatosha mlo wa siku nzima asubui kavu mchana miogo mitano jioni miogo minne na chai ya rangi siku imeisha dah mabibo sokoni kule sjui adi leo izi mambo hahaaa [emoji12] [emoji12] [emoji12] you made my day brother
[emoji3] [emoji3] daah umenikumbusha mbali sana mkuu ivo yan hasa ako kaneno retirement bado hahaaa atari sana atasugua mwisho anaweza ata akarudi hom sjui kitu gani sjapitia upande wa izo changamoto
Pale hesb utaskia napishana na liboss yupo habar za saiz vip bakari kaenda kupata chai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.